Arthur Schopenhauer : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
Arthur Schopenhauer  (22 Februari 1788 - 21 Septemba 1860) alikuwa [[Mwanafalsafa]] wa [[Ujerumani]]. Yeye anajulikana kwa kazi yake ya 1818 ([[The World as Will and Representation|The World as will and Representation]]) "Dunia kama Williwito na Uwakilishi" (kupanuliwa mwaka wa 1844), ambako anafafanua ulimwengu wa matukio kuwa uzao wa dhamira yaki[[metafizikia]] ambayo ni kipofu na isiyotosheka. Kutoka kwa dhana ngambo ya bara la uzoefu (Transendental idealism) ya [[Immanuel Kant]], Schopenhauer alibuni mfumo wa kimetafizikia na wa ki[[Maadili]] ambao [[Ukanaji Mungu|unaokana mungu]] ambao umeelezewa kuwa mfano wa falsafa za uhasi wa maisha (philosophical pessimism). Alikataa falsafa za rika lake za dhana kwamba ulimwengu ulitegemea michakato ya kikakili kwa kuwepo kwake; dhana zilizotawala falsafa za Ujerumani Karne hio(German Idealism). Schopenhauer alikuwa miongoni mwa wasomi wa kwanza katika falsafa ya Magharibi kushiriki na kuthibitisha mambo muhimu ya falsafa ya Mashariki (kwa mfano, [[Mtawa|utawa]], ulimwengu-kama-kuonekana), baada ya kufikia hitimisho sawa kama matokeo ya kazi yake ya falsafa.  
 
Ingawa kasi yake haikupata umaarufu  wakutajika wakati alikua hai, Schopenhauer amekua na ushawishi mkubwa baada ya kifo chake kupitia kazi zake katika nyanja kadhaa, zikiwemofalsafa, fasihi na sayansi.
Mstari 7:
= [[Fikira]] =
 
== Falsafa ya "Williwito" ==
Makala kuu: Dunia kama Williwito, na Uwakilishi
 
Lengo muhimu la Schopenhauer ilikuwa uchunguzi wake wa motisha ya mtu binafsi. Kabla ya Schopenhauer, Hegel alikua amemaarufisha dhana ya '''''Zeitgeist''''', dhana kwamba jamii ikona fahamu unganifu ya pamoja ambayo inayosafiri kwa njia teule, na inatawala vitendo vya wanachama wake. Schopenhauer, msomaji wa Kant na Hegel Wote, alikashifu dhana zao za mantiki chanya (Logical optimism) na imani kwamba maadili ya mtu binafsi inaweza kuongozwa na jamii au sababu tupu. Schopenhauer alishikilia imani kuwa binadamu alipata motisha kwa msingi ya uchu na dhamira zao wenyewe au Willewitoe zum Leben ( "williwito wa kuishi"), ambayo yote ya wanadamu huelekezwa. Williwito, kwa mujibu wa Schopenhauer, ni kile Kant alichoita "kitu-ndani-yenyewe". [39]
 
Kwa Schopenhauer, tamaa ya kibinadamu haikuwa na maana, haijulikani, haielewi, na, kwa upanuzi, hivyo hatua zote zakibinadamu zinaambulia patupu. Einstein alifalisi maoni haya kama ifuatavyo: "Mtu anaweza kufanya kile anachotaka, lakini hawezi williwito kile anachotaka." Kwa maana hii, alizizingatia kanuni ya Fichte yaulimwengu akili-tegemezi: "Dunia ni kwa raia." Dhana hii umewasilishwa jinsi kwamba, hutumika moja kwa moja kwa kubuni mtazamo wa kimaadili, hii ni kinyume na Descartes na Berkeley waliozingatia masuala ya kiepistemologia pekee yake. Kwa mujibu wa Schopenhauer, Williwito ni nguvu kipofu ambayo inatawala,sit u matendo ya watu binasfi, ihali maumbile yote ulimwenguni – na ni uovu ambao unapasawa kumalizwa na majukumu ya wanadamu: utawa na usafi wa moyo [40]. Ametambuliwa na kati moja ya mistari ya ufunguzi maarufu zaidi katika falsafa: "Dunia ni uwakilishi wangu." Friedrich Nietzsche aliathiriwa sana na wazo hili la Williwito, ingawa hatimaye aliukataa.
 
== [[Sanaa]] na [[esthete]] ==
Makala kuu: esthete ya Arthur Schopenhauer
 
Kwa mujibu wa Schopenhauer, tamaa ya binadamu, "williwito", na uchu husababisha mateso au maumivu. Njia ya muda mfupi ya kuepuka maumivu haya ni wa utafakari wakiusthete (kwa njia inayofanana na "''Usablimashaji''" wa Zapffe). Utafakari huu wakiusthete unaruhusu mtu kuepuka maumivu-hata hivyo kwa muda mfupi-kwa sababu hukomboa mtu kutokana kuona dunia kama tu mawasilisho. Badala yake, mtu husita kuangalia dunia kama kitu cha maonyesho  (kama raia chini ya katiba ya Kanuni za Misingi Yakutosha, wakati, nafasi na usababishi) ambapo mtu hupata kutengwanishwa; bali mtu anapata kunganishwa na  anakua mmoja na maonyesho: ''"mtu hataweza tena kutenganisha mtazamaji kutoka kwa mtazamo"'' (''Dunia kama Williwito, na Uwakilishi,'' '''sehemu ya 34'''). Kutokana na kuzamishwa huku, mtu haijioni tena kibinafsi kama anayekabiliwa na mateso duniani kwa sababu ya uchu wake badala yake, anakua “''raia wa ujuzi''”  kwa mtazamo ambao ni “''safi, huru kutoka Williwito, na wakati''”( '''kifungu cha 34''') ambapo kiini, "mawazo", ya dunia huonyeshwa. Sanaa ni dhana-tumizi zinazofuta huu utafakari mfupi wakiusthete ambapo inajaribu kuonyesha mtu amezamishwa ndani ya malimwengu, na hivyo hujaribu kuonyesha kiini / mawazo safi ya ulimwengu. Muziki, kwa mujibu wa Schopenhauer, ulikuwa ni aina safi kabisa ya sanaa Kwa sababu ilikuwa inaonyesha taswira ya  Williwito wenyewe bila kuenekana kama raia chini ya Kanuni ya Misingi za Kutosha , hivyo kama kitu kimoja. Kulingana na Daniel Albright, "Schopenhauer alifikiri kwamba muziki ndiyo pekee ya sanaa ambayo haikunakili mawazo, badala yake ililchukua mfumo wa williwito wenyewe."
 
Alizingatia muziki kama huru kutoka wakati, lugha yakiulimwengu inayojulikana kila mahali, ambayo inaweza kuchanjia mataifa yote na uchangamfu, ikiwa imechukua mafuatano ya sauti maarufu.
Mstari 38:
 
=== [[Siasa]] ===
Siasa za Schopenhauer zilikuwa, kwa sehemu kubwa, marejeleo ya mfumo wake wa maadili (ya jamii ilipata sauti kwa ''Die beiden Grundprobleme der Ethik,'' inayopatikana kwa kiingereza kwa vitabu viwili, ''On the Basis of Morality'' na ''On the Freedom of the Willwito'' ). Maadili pia ilimiliki karibu robo ya kazi yake kuu, ''Dunia kama Williwito na Uwakilishi''. 
 
Katika maoni ya mara kwa mara ya siasa katika kazi zake za ''Parerga and Paralipomena'' na ''Manuscript Remains'', Schopenhauer anajieleza mwenyewe kama mpendekezi wa serikali finyu. Cha mno, alidhani, ni kuwa serikali inapaswa “kuwacha kila mtu huru ajitafutie wokovu wake mwenyewe”,  na ikiwa serikali itasita kudoea au kuingilia haya, yeye alipendekeza zaidi “afadhali kutawaliwa na simba kuliko panya wenzake”- hiyo nikumaanisha, na mfalme, kuliko kiongozi wa demokrasia. Schopenhauer aliunga mkono maoni ya Thomas Hobbes ya umuhimu wa serikali, na wa utendakazi wake, kuchunga mielekeo yetu ya uharibufu ambayo ni ya undani na imeambatana na asili ya aina yetu. Yeye bado alitetea tawi huru za utunga-sheria, mahakama, na utekelezaji za nguvu, na aliona mfalme kama kipengele huru ambacho kinaweza tekeleza haki (anamaanisha katika matumizi ya kila siku, sio kwa maana ya kikosmologia). Alitangaza ufalme kama “kile ambacho ni cha hali ya kawaida kwa binadamu” kwani “uerevu daima chini ya serikali ya ufalme umekua ukipata nafasi bora zaidi kupiku adui wake mkuu, ujinga” alihujumu ujamhuri kama “yasiyo asili kwani inasusia hatua za uerevu wajuu, sanaa na sayansi”