Hembeti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d wa wa --> wa; new lines; double spaces using AWB
No edit summary
Mstari 1:
'''Hembeti ''' ni kata ya [[Wilaya ya Mvomero]] katika [[Mkoa wa Morogoro]], [[Tanzania]] yenye [[Postikodi Tanzania|Postikodi namba]] 67303. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 21,057 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Morogoro - Mvomero DC]</ref> walioishi humo.
 
Kati ya vijiji vya Hembeti kuna [[Mkindo, Hembeti|Mkindo]] pamoja na Dihombo, Kambala, Msufini, Mndela na Kisimagulu.