Taka : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Taka''' (kwa Kiingereza "waste")ni bidhaa au kifaa chochote kisichohitajika au kisichoweza kutumika,au taka ni kifaa chochote kilichotupwa ba...'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:WasteFinalDeposited.jpg|thumb|235x235px|takaTaka zikiwa kwenye [[shimo]].]]
'''Taka''' (kwa [[Kiingereza]] "waste") ni [[bidhaa]] au [[kifaakitu]] chochote kisichohitajika au kisichoweza kutumika tena, au ni [[takakifaa]] ni kifaa chochote kilichotupwa baada ya matumizi ya [[msingi]] aukwa kuwa hakina [[kazi]] yoyote kwa mtumiaji.
[[Picha:WasteFinalDeposited.jpg|thumb|235x235px|taka zikiwa kwenye shimo]]
 
Taka zina [[athari]] nyingi katika [[jamii]].Athari hizo ni 1.Taka husababisha [[magonjwa]] mbalimbali ikiwemo [[homa ya manjano]],[[minyoo]],[[kansa]] n.k 2.Husababisha uharibifu wa [[mazingira]].hufanya mazingira kuwa machafu. 3.Taka husababisha uharibifu wa [[maji]],[[misitu]].n.k 4.Taka zikichomwa hutoa [[moshi]] ambao husababisha uharibifu wa [[tabaka la ozoni]] ambalo hupunguza [[mwanga]] wa [[jua]] kufikia kwenye [[ardhi]] ya [[dunia]]. Hivyo tunashauriwa kutupa taka kwenye [[mashimo]] na kisha kuzichoma [[moto]] ili zisije zikaleta [[madhara]] kwenye jamii.
Taka zina [[athari]] nyingi katika [[jamii]]. Athari hizo niː
̽*1. Taka husababisha [[magonjwa]] mbalimbali ikiwemo [[homa ya manjano]],[[minyoo]], [[kansa]] n.k.
*2. Husababisha [[uharibifu wa mazingira]]: hufanya [[mazingira]] kuwa machafu.
*3. Taka husababisha uharibifu wa [[maji]], [[misitu]] n.k.
*4. Taka zikichomwa hutoa [[moshi]] ambao husababisha uharibifu wa [[tabaka la ozoni]] ambalo ni muhimu kwa kupunguza [[mwanga]] wa [[jua]] kufikia kwenye [[ardhi]] ya [[dunia]].
 
Hivyo tunashauriwa kutupa taka kwenye [[mashimo]] na kisha kuzichoma [[moto]] ili zisije zikaleta [[madhara]] kwenye jamii.
 
{{mbegu-biolojia}}
 
[[Jamii:Ekolojia]]