Seminari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 33 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q233324 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Stations at SHAS.jpg|thumb|Waseminari wakishiriki [[ibada]] ya [[Njia ya Msalaba]] kwenye [[Ijumaa Kuu]], [[2009]].]]
'''Seminari''' ni muundo wa [[malezi]] unaotoa mafunzo ya [[dini]], hususan [[Ukristo]], yakiwa pengine pamoja na [[elimu dunia]].
'''Seminari kuu''', au '''vyuo vya teolojia''', ni muundo wa
Tofauti na hiyo, '''seminari ndogo''' inalea [[vijana]] kuanzia baadhi ya [[darasa|madarasa]] ya [[shule ya msingi]] hadi vidato vya [[sekondari]].
[[Neno]] linatokana na [[Kilatini]]: ''seminarium'' ina maana ya ''[[kitalu]]'', mfano uliotumiwa na [[Mtaguso wa Trento]] katika hati ''Cum adolescentium aetas'' ambayo ilianzisha
Baada ya muundo huo kuenea katika [[Kanisa Katoliki]], hata [[madhehebu]] mengine na hatimaye [[dini]] nyingine vimeanza kutumia mbinu hiyo.
Line 11 ⟶ 12:
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-dini}}
[[Category:Ukristo]]
|