Nyungunyungu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|nyungunyungu ''Nyungunyungu'' ni mdudu mwenye umbo la mviringo anapatikana katika phailum Annelida.Nyun...'
 
Nyongeza sanduku la uainishaji na masahihisho
Mstari 1:
{{uainishaji
[[Picha:Earthworm on the ground-cropped.jpg|thumb|nyungunyungu]]
| rangi = #D3D3A4
''Nyungunyungu'' ni mdudu mwenye [[umbo]] la mviringo anapatikana katika phailum Annelida.Nyungunyungu kwa kawaida huishi katika udongo, anajilisha katika viumbe mfu na hai. Mfumo wa umeng'enyaji wa mdudu huyu anaendeshwa kupitia urefu wa mwili wake. Na anaendesha upumuaji kupitia ngozi yake. anajongea kwa mifumo miwili mfumo unaojumuisha kiowevu cha coelomic kinachotembea ndani coelom maji ya kujazwa na damu .Ana mfumo wa neva wa kati ambao una ganglia katika mdomo.Nyungunyungu ni hemapoditesi – ambao hubeba ogani zote za kiume na za kike.Huwa hawana mifupa, lakini kudumisha muundo wao kwa kujazwa kimiminika kiitwacho coelom ambacho hufanya kazi kama mifupa.
| jina = Anelidi
[[Picha:| picha = Earthworm on the ground-cropped.jpg|thumb|nyungunyungu]]
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Nyungunyungu
| himaya = [[Animalia]] (Wanyama)
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]] (Wanyama wenye tishu za kweli)
| faila_ya_juu = [[Lophotrochozoa]]
| faila = [[Annelida]] (Wanyama kama [[nyungunyungu]])
| ngeli = [[Clitellata]]
| nusungeli = [[Oligochaeta]]
| oda = [[Megadrilacea]]
| nusuoda = [[Lumbricina]] + [[Moniligastrida]]
| subdivision = '''Familia 21:'''<br>
*[[Acanthodrilidae]]
*[[Ailoscolecidae]]
*[[Almidae]]
*[[Benhamiinae]]
*[[Criodrilidae]]
*[[Diplocardiinae]]
*[[Eudrilidae]]
*[[Exxidae]]
*[[Glossoscolecidae]]
*[[Hormogastridae]]
*[[Kynotidae]]
*[[Lumbricidae]]
*[[Lutodrilidae]]
*[[Megascolecidae]]
*[[Microchaetidae]]
*[[Moniligastridae]]
*[[Ocnerodrilidae]]
*[[Octochaetidae]]
*[[Octochaetinae]]
*[[Sparganophilidae]]
*[[Tumakidae]]
}}
''Nyungunyungu'' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wenye [[umbo]] la neli wa [[oda]] [[Megadrilacea]] katika [[faila]] [[Annelida]]. Kwa kawaida huishi katika udongo akijilisha katika viumbe mfu na hai. [[Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula]] wa nyungunyungu unanyumbua kupitia urefu wa mwili wake. Na wanaendesha upumuaji kupitia ngozi yake. Mfumo wa kupeleka viowevu ni maradufu na una uvungu wa mwili ([[silomi]]) ambao ndani yake giligili ya silomi inazunguka na [[mfumo wa mzunguko wa damu|mfumo duni wa mzunguko wa damu]] wenye mtiririko kamili. Nyungunyungu wana [[mfumo wa neva]] wa kati ambao una [[ganglia]] mbili juu ya [[mdomo]]. Nyungunyungu ni [[huntha|mahuntha]] na hubeba [[ogani]] zote za kiume na za kike. Hawana mifupa, lakini hudumisha muundo wa mwili kwa njia ya vyumba vya silomi vylivyojaa na giligili na ambavyo hufanya kazi ya [[kiunzi]] cha [[mtuamomaji]].
 
==Familia zinatokea Afrika==
* Acanthodrilidae
* Almidae
* Enchytraeidae
* Eudrilidae
* Kynotidae
* Microchaetidae
* Ocnerodrilidae
* Octochaetidae
 
[[Jamii:Anelidi]]
[[Jamii:Majina ya Annelida kwa Kiswahili]]