Mpopi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 54 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q131584 (translate me)
No edit summary
Mstari 14:
}}
 
'''Mpopi''' ''(kutoka [[Kiing.]] "poppy"; jina la kitaalamu: Papaver somniferum)'' ni mmea yenyewenye asili katika nchi za [[Mashariki ya Kati]]. Inakua hadi urefu wa mita 1 ikiwa na maua meupe, manjano na mara nyingi mekundu. Mpopi ni asili ya [[madawa ya kulevya]] ya [[afyuni]] na [[heroini]] yanayotumiwa pia kama madawa ya tiba hasa kwa kutuliza maumivu makali.
 
Mbegu zake hutumiwa kwa kutoa mafuta pia kama chakula ukichanganywa ndani ya keki na mikate.
 
Kemikali zinazosababisha matumizi ya afyuni ziko hasa katika utomvi wa mpopi lakini kwa kiasi kidogo pia kwenye majani na mbegu wake. Afyuni hutengenezwa kwa kukata tumba za ua la mpopi; utomvi mweupe unatoka nje na kuganda hewani kuwa masi kama mpira. Masi hii ni afyuni bichi.