Eksirei : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'alt=Eksirei|thumb|Eksirei '''Eksirei''' ni aina ya mionzi ya umeme. Eksirei ni mawimbi ya mionzi ya X. Eksirei...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:X-ray chest cancer.jpg|alt=Eksirei|thumb|Eksirei]]
'''Eksirei''' ni aina ya [[mionzi]] ya [[umeme]]. Eksirei ni [[mawimbi]] ya mionzi ya [[X]].
Eksirei ina [[urefu]] wa [[wimbi]] mfupi, na hivyo zina [[nishati]] kubwa zaidi kuliko mionzi [[urujuanimno]]. Hizo zina urefu wa wimbi mfupi sana kuliko [[mwanga]] unaoonekana (mwanga ambao tunaweza kuona). Mionzi yenye urefu wa wimbi mfupi (nishati zaidi) kuliko eksirei inaitwa [[mionzi ya Gamma]]. Hizi ni sehemu zote za [[wigo]] wa [[umeme]].
Yrefu wa wimbi wa eksirei hufunika mahali mbalimbali. Eksirei nyingi zina urefu wa wimbi katika kiwango cha 0.01 hadi 10 nanometa. Hii inafanana na mawimbi katika [[petahezi]] [[30]] hadi [[exahezi]] [[30]] (3 × 1016 Hz hadi 3 × 1019 Hz) na [[nguvu]] katika kiwango cha 100 eV hadi 100 keV.▼
▲
Eksirei inaweza kupita kwenye vitu vingi [[yabisi]]. Kwa sababu hii, huchukua [[picha]] mfano za [[mifupa]] ndani ya [[mwili]].▼
▲Eksirei
{{tech-stub}}
[[Jamii:Tiba]]
|