Wimbo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d nimeongeza sehemu kidogo ya aina za nyimbo kulingana na nchi na jamii |
No edit summary |
||
Mstari 3:
Nyimbo huundwa kwa [[lugha]] ya mkato na matumizi ya lugha ya [[picha]] (taswira).
Muundo wa nyimbo huwa ni wa kuimbika na [[mizani]] ya kila mstari mara nyingi huwa inalingana.
Nyimbo aghalabu huambatana na [[ala]] za [[muziki]] kama vile [[ngoma]], [[zeze]], [[marimba]], makofi, [[vigelegele]] na kadhalika.
Mstari 9:
Wahusika wa nyimbo huwa ni mtu mmoja au kikundi cha watu. [[Mashairi]] ya nyimbo huimbwa popote pale panapostahili kulingana na tukio au muktadha unaofungamana na wimbo. Hivyo basi kuna nyimbo za [[dini]], [[harusi]], [[siasa]], [[jando]]/[[unyago]], [[kilimo]], nyimbo za kuwinda na kadhalika.
==Aina
Kuna aina nyingi za nyimbo zikitofautishwa na nchi, [[utamaduni]] na [[waimbaji]] wenyewe. Kwa mfano kuna nyimbo za kitamaduni, za [[Injili|Kiinjili]] na za kisasa.
Nyimbo za kisasa zinarekodiwa kwenye [[studio]] za kisasa ama [https://studiogearexperts.com/best-laptop-for-music-production/htm studio za nyumbani] ambao ni mtindo unaoleta mageuzi makuu kwa [[wasanii]]. Leo unaweza {{mbegu-muziki}}
|