Uturuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 94:
[[Lugha rasmi]] na ya kawaida ni [[Kituruki]], kinachotimika na 85% za wakazi. Hata hivyo, lugha 36 huzungumzwa nchini Uturuki, yaani 14 za asili na 22 za nje (angalia [[orodha ya lugha za Uturuki]]).
Upande wa [[dini]], karibu wote ni [[Waislamu]], hasa kuanzia [[karne ya 20]] ambapo [[Wakristo]] wengi [[Maangamizi ya Waarmenia|waliuawa]] (hasa [[Waarmenia]]) au kuhama (hasa [[Wagiriki]]).
== Picha za Uturuki ==
<gallery>
Image:Haga Sofia RB1.jpg|Ayasofya (zamani: [[Kanisa]] la [[Hagia Sofia]]) mjini Istanbul wakati wa usiku
Image:Ephesus library-650px.jpg|Maghofu ya [[Efeso]]
Image:Selimiye Camii.jpg|Misikiti Selimiye ([[Edirne]])
Mstari 104:
Image:View from Mardin to the Mesopotamian plains.jpg|[[Mnara]] wa [[msikiti]] wa Reyhanli, [[Mardin]]
</gallery>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
==Viungo vya nje==
|