Mexiko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 140:
Katika miaka iliyofuata nchi haikupata msimamo imara kisiasa wala kiuchumi. Serikali mara nyingi zilikuwa hafifu na kubadilishana.
Vikundi vya [[
Mwaka wa uhuru maeneo ya kusini yalijitenga na kuwa [[Shirikisho la Amerika ya Kati]] lililofarakana baadaye kuwa nchi za [[Guatemala]], [[Honduras]], [[El Salvador]], [[Nikaragua]] na [[Costa Rica]].
Mwaka [[1835]] Marekani ilijaribu kununua maeneo ya [[Texas]] na [[Kalifornia]] lakini
Hatua hii ilisababisha [[Vita ya Marekani na Mexiko]] ya miaka [[1846]] - [[1848]]. Mexiko ikashindwa na kaskazini yote ikawa sehemu ya Marekani ([[Kalifornia]], [[New Mexico]], [[Arizona]], [[Nevada]], [[Utah]] na [[Colorado]], jumla [[theluthi]] moja ya eneo lake lote.
Mstari 150:
Mexiko ilishambuliwa mara mbili na [[Ufaransa]] kutokana na madai juu ya [[madeni]] ya taifa kwa [[raia]] au [[benki]] za nje. Kwenye [[vita ya keki]] ([[1838]]-[[1839]]) Ufaransa ilidai fidia kwa uharibifu uliotokea katika duka la keki la Mfaransa mjini Mexiko na [[manowari]] za Ufaransa zilishambulia bandari za Mexiko hadi rais wake kukubali deni hili.
Mashambulio makubwa zaidi yalifuata mwaka [[1861]]. Mexiko ilishindwa kulipa madeni kwa mataifa ya nje. Ufaransa chini ya [[Napoleon III]] iliamua kufanya Mexiko nusu-koloni yake; jeshi la Ufaransa ilivamia nchi, kufukuza serikali na kumweka [[Mwaustria]]
====Karne ya 20====
|