Nile ya buluu : Tofauti kati ya masahihisho

107 bytes added ,  miaka 5 iliyopita
no edit summary
(imeunganishwa na Abbai)
No edit summary
| miji =
}}
 
 
[[Picha:Nile ya buluu.png|thumb|290px|Ramani ya Nile ya buluu]]
'''Nile ya buluu''' ni [[tawimto]] mkubwa wa [[mto Nile]]. Inaanza katika [[Ziwa Tana]] kwenye [[nyanda za juu]] za [[Ethiopia]] na kutelemka hadi Sudan. [[Mdomo]] wake niuko [[Sudan]] [[Mji|mjini]] [[Khartum]] inapounganika na [[Nile nyeupe]] na kuunda mto wa Nile mwenyewewenyewe.
 
Kwa jumla Nile ya bluu inabeba [[maji]] mengi kushinda Nile nyeupe.
 
'Ndani ya nchi Ethiopia mto huitwa kwa jina ''Abbai''' (''mto mkubwa'', pia '''Abay''' au '''Abai''') ni [[mto]] mkubwa kabisa katikawa [[Ethiopia]].
 
Baada ya kutoka Ethiopia na kuingia [[Sudan]] inaitwa kwa ([[Kiarabu]]: النيل الأزرق; '''an-nīl al-azraq''').
 
Ina [[Chanzo (mto)|chanzo]] chake kwenye [[kimo]] cha [[mita]] 1800 juu ya [[UB]] inapotoka katika [[Ziwa Tana]] katika nyanda za juu za Ethiopia. Kwanza inaelekea kusini-mashariki lakini inabadilika mwelekeo kwenda magharibi halafu kaskazini.
 
Waethiopia wengi wanasemekana kuitazama kama mto mtakatifu.
 
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
 
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]