Mto Vaal : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 33 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q209530 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
'''Mto Vaal''' ni [[tawimto]] mrefu wa [[mto]] [[Oranje (mto)|Oranje]] katika [[Afrika Kusini]]. Chanzo chake ni katika milima ya [[Drakensberg]] mkoani [[Mpumalanga]] mashariki ya mji wa [[Johannesburg]]. Inaelekea kusini-magharibi hadi kuungana na mto Oranje karibu na mji wa [[Kimberley (Afrika Kusini)|Kimberley]] mkoani [[Northern Cape]]. Urefu wake ni 1120 km.
 
Jina la[[Chanzo (mto)|Chanzo]] limetokachake ni katika lugha[[milima]] ya [[KiholanziDrakensberg]]; walowezi wa kwanzamkoani [[WaholanziMpumalanga]] walitakamashariki kukumbukakwa mto Waal[[mji]] wa nyumbani kwao[[Johannesburg]].
 
Inaelekea kusini-magharibi hadi kuungana na mto Oranje karibu na mji wa [[Kimberley (Afrika Kusini)|Kimberley]] mkoani [[Northern Cape]].
Vaal ni mto muhimu kwa ajili ya kilimo, viwanda na matumizi ya nyumbani eneo la Johannesburg.
 
[[Urefu]] wake ni km 1120.
Katika historia ya Afrika Kusini mto Vaal ulikuwa mpaka kati ya koloni ya [[Uingereza]] kusini ya mto na jamhuri za makaburu kaskazini ya mto. Jina la kihistoria ya "[[Transvaal]]" limemaanisha "ng'ambo ya mto Vaal".
 
[[Jina]] la mto limetoka katika [[lugha]] ya [[Kiholanzi]]; [[walowezi]] wa kwanza [[Waholanzi]] walitaka kukumbuka mto Waal wa nyumbani kwao.
 
Vaal ni mto muhimu kwa ajili ya [[kilimo]], [[viwanda]] na matumizi ya nyumbani eneo la Johannesburg.
 
Katika [[historia]] ya Afrika Kusini mto Vaal ulikuwa mpaka kati ya [[koloni]] yala [[Uingereza]] kusini yakwa mto na [[jamhuri]] za makaburu[[Makaburu]] [[kaskazini]] yakwa mto. Jina la kihistoria ya "[[Transvaal]]" limemaanisha "ng'ambo ya mto Vaal".
 
==Tazama pia==
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
{{mbegu-jio-AfrikaKusini}}