Mlima : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya Mtongori (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Kilimanjaro 2006-08-13.JPG|thumb|300px|[[Mlima Kilimanjaro]] unavyoonekana kutoka [[Moshi (mji)|Moshi]]]]
[[Picha:Denali Mt McKinley.jpg|thumb|300px||[[Mlima Denali]] jimboni [[Alaska]] ([[USA]]).]]
'''Mlima''' ni sehemu ya uso wa [[dunia]] iliyoinuka sana juu ya [[mazingira]] yake.

Mifano katika [[Afrika]] ni [[Mlima Kilimanjaro]] na [[Mlima Kenya]].
 
== Kilele na vilele ==
Line 29 ⟶ 31:
Baada ya kutokea milima inaendelea kupungua polepole kutokana na miamba kuvunjika na kusagwa kwa njia ya [[mmomonyoko]]. Athari zinazosababisha mmomonyoko ni hasa tofauti za [[halijoto]] pamoja na maji, [[upepo]] na [[barafu]]. Wakati wa [[joto]] mwamba hupanuka kiasi, wakati wa [[baridi]] hujikaza na kwa njia hii hutokea ufa ndani yake. Hapo maji yanaweza kuingia na kuganda kuwa [[barafu]] wakati wa baridi yakizidi kupanua ufa na kuvunja mwamba polepole.
 
=== Milima mirefu duniani ===
Mlima mrefu unaojulikana kabisa uko nje ya [[dunia]] kwenye [[sayari]] [[Mirihi]]: unaitwa Olympus Mons na kuwa na urefu wa [[kilomita]] 27.
 
Mlima mrefu juu ya uso wa dunia huitwa [[Mount Everest]] (mita 8,848) uko mpakani mwa nchi ya [[Nepal]] na [[Tibet]] ([[China]]) katika [[Asia]].
 
Lakini mlima mrefu kabisa ni [[Mauna Kea]] katika [[funguvisiwa]] yala [[Hawaii]]. Unaonekana kama mlima mrefu wa Hawaii unaofikia mita 4,214 juu ya UB, lakini ukitazamwa kutoka chanzo chake unapoanza kuinuliwa juu ya mazingira yake chini ya bahari kilele chake kipo mita 10,205 mita juu ya mazingira tambarare yaliyoko chini ya bahari.
 
Milima mirefu ya kila bara ni kama zifuatazoifuatavyo:
* [[Afrika]]: [[Mlima Kilimanjaro]] (mita 5,963) nchini [[Tanzania]]
* [[Amerika ya Kaskazini]]: [[Mount McKinley]] (mita 6,194) [[Jimbo|jimboni]] [[Alaska]] (USA)
Line 46 ⟶ 48:
==Picha==
<gallery>
Image:Satellitenaufnahme der Alpen.jpg|Safu ya [[Alpi]] katika [[Ulaya]], [[picha]] yakutoka [[chombo cha angani]]
Image:Westpeak.jpg|Milima ya Olympic Mountains, jimbo la [[Washington]] ([[Marekani]])
</gallery>
 
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
 
== Marejeo ==
Line 55 ⟶ 60:
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Mountains|Milima}}
{{mbegu-jio}}
 
[[Jamii:Milima| ]]
[[Jamii:Jiografia]]