Umoja wa Ulaya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 9:
|}
 
'''Umoja wa Ulaya''' (Kifupi: '''[[EU]]''') ni maunganomuungano yawa kisiasa na yawa kiuchumi yawa nchi 28 za [[Ulaya]].
 
Ulianzishwa mwaka [[1991]] juu ya msingi wa [[Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya]].
Mstari 15:
Shabaha kuu zilikuwa kujenga [[uchumi]] wa pamoja, kuboresha maisha ya watu wa Ulaya na kuzuia [[vita]] kati ya nchi za Ulaya.
 
Nchi 18 za Umoja huo hutumia [[pesa]] ileilemoja ya ''[[Euro]]''.
 
Nchi nyingi za Umoja zimepatana kufungua mipaka yao bila vizuizi kwa wakazi wote.
Mstari 26:
[[Mapatano ya Schengen]] ilifungua mipaka ili wakazi wa nchi hizo waweze kusafiri bila [[pasipoti]] wala vibali.
 
Nchi 10 tena zilijiunga na EUUmoja wa Ulaya mwaka [[2004]]. Mbili zaidi imeingiaziliingia [[2007]] na [[Kroatia]] mwaka [[2103]].
 
<gallery>
Mstari 43:
Kila mtu mwenye [[uraia]] wa nchi ya Umoja anaruhusiwa kuhamia nchi yoyote nyingine na kufanya [[kazi]] au [[biashara]] huko bila vibali vya pekee.
 
Vilevile [[bidhaa]] zote zinazotengenezwa kote katika EUUmoja wa Ulaya zinaweza kuuzwa katika kila nchi. Hii ni sababu ya kuwa na sheria za pamoja zinazotawala masharti ya bidhaa na uzalishaji.
 
== Vyombo vya Umoja ==
Mstari 61:
Bunge la Ulaya lina wabunge 751 wanaochaguliwa na wananchi kila baada ya miaka mitano.
 
== Nchi wanachama zawa EUUmoja wa Ulaya ==
[[Picha:Umoja Ulaya-2007.png|thumb|right|500px|'''Nchi (jina la kienyeji - kifupi)'''<br />
Austria (Österreich - '''AT''')