Yordani (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q40059 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 17:
}}
'''Yordani''' (kwa [[Kiebrania]]: נהר הירדן ''nehar hayarden''
Kwa sehemu kubwa ya njia yake uko chini ya [[usawa wa bahari]] na ni mpaka kati ya [[ufalme]] wa [[Yordani]] upande wa [[mashariki]] na maeneo ya [[Palestina]] na [[Israel]] upande wa [[magharibi]]. ▼
▲'''Yordani''' ([[Kiebrania]]: נהר הירדן ''nehar hayarden'', [[Kiarabu]]: نهر الأردن ''nahr al-urdun'') ni mto mdogo katika [[Mashariki ya Kati]] lakini ni kati ya mito inayojulikana sana duniani kwa sababu imetajwa mara nyingi katika [[Biblia]]. Hivyo katika [[dini]] za [[Uyahudi]] na [[Ukristo]] Yordani ina maana ya kidini.
[[Chanzo (mto)|Chanzo]] cha Yordani ni mito minne inayobubujika karibu na [[mlima Hermoni]] mpakani kwa Israel, [[Lebanon]] na [[Syria]].▼
▲Kwa sehemu kubwa ya njia yake uko chini ya [[usawa wa bahari]] na ni mpaka kati ya ufalme wa [[Yordani]] upande wa mashariki na maeneo ya [[Palestina]] na [[Israel]] upande wa magharibi.
▲Chanzo cha Yordani ni mito minne inayobubujika karibu na [[mlima Hermoni]] mpakani kwa Israel, [[Lebanon]] na [[Syria]].
Mito ya chanzo inaungana katika Israel ya kaskazini.
Yordani hupita eneo la [[Galilaya]] inapounda [[ziwa Genesareti]] na baada ya kutoka hapo inatelemka kwa
[[Mdomo]] wake uko
Kiasi cha [[maji]] kwenye sehemu ya [[kusini]] ya mto kimepungua sana kwa sababu Israel inavuta sehemu kubwa ya maji
[[Bonde la Yordani]] ni sehemu ya [[kaskazini]] ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]] linaloendelea katika [[bonde la Araba]] na kupita [[Bahari ya Shamu]] hadi kuonekana tena [[Eritrea]].
[[Jamii:Mito ya Israel]]
|