Idi Amin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Luwum and Amin.jpg|thumb|250px|Idi Amin pamoja na [[Askofu Luwum]] aliyeuawa baadaye kwa amri yake.]]
[[Picha:Amin is carried.jpg|thumb|250px|Idi Amin akibebwa kifalme na [[wafanyabiashara]] [[Waingereza]] huko [[Kampala]].]]
'''Idi Amin Dada''' (/ˈiːdi ɑːˈmiːn/;
[[Idadi]] ya watu waliouawa Uganda
Katika miaka yake ya kushika [[serikali]] Amin alibadilika kutoka uhusiano wa kirafiki na [[nchi za magharibi]], na hasa [[Israeli]], kuhamia upande wa [[Muammar Gaddafi]] wa [[Libya]], [[Mobutu Sese Seko]] wa [[Zaire]], [[Umoja wa Kisovyeti]] na [[Ujerumani ya Mashariki]].<ref name=libya1>{{cite book|title=Africa Since 1800|author=Roland Anthony Oliver, Anthony Atmore|page=272}}</ref><ref name=ussr1>{{cite book|title=Who influenced whom?|author=Dale C. Tatum|page=177}}</ref><ref name=gdr1>Gareth M. Winrow. ''The Foreign Policy of the GDR in Africa'', p. 141.</ref> Hata hivyo Amin alipata usaidizi wa [[CIA|ofisi ya upelelezi ya Marekani CIA]] iliyotuma [[silaha]] na vifaa vingine kwa jeshi lake.<ref>New York Times, Dec. 17, 1986; ''Paper Cites CIA Aid to Amin's Army in 70s''</ref>
Mwaka [[1977]] Amin alivunja [[uhusiano wa kidiplomasia]] na [[Ufalme wa Maungano]] ([[Uingereza]]) akajitangaza kuwa alishinda na kujiongezea sifa ya CBE ("Conqueror of the British Empire"). Kuanzia wakati ule [[cheo]] chake rasmi kilikuwa "His Excellency President for Life, Field Marshal Alhaji Dr. Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE".<ref name="guardian_obit" />
|