Beta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
link |
||
Mstari 6:
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika [[hesabu]] na [[fizikia]]. Imejulikana hasa kama jina la pembe ya pili katika [[pembetatu]].
Katika [[falaki]] inatumiwa sana kwa hesabu ya nyota katika [[kundinyota]]. Katika [[
Katika programu za komyuta "toleo la beta" (=beta-version) humaanisha toleo la awali la programu. Wahariri wanaitoa kama imeshakamilika lakini kabla ya kuiuza wanatoa nakala kwa majaribio ili makosa yaonekana.
|