Solistasi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
dNo edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 53:
|20||03:50||20||21:44||22||13:31||21||10:02
|}
'''Solistasi''' (pia:'''solistisi''', kutoka [[ing.]] ''[[:en:solstice|solstice]]''<ref>Asili ni neno la [[Kigiriki]] ἡλιοστάσιον ''hēliostásion'' "kusimama kwa Jua")</ref>) ni jina la siku mbili katika mwaka ambako tofauti
Tarehe
Watu wanaoishi sehemu za jirani na Ikweta huwa hawatambui tofauti ya muda wa mchana na usiku, ila kadri anavyokaa zaidi upande wa kusini au kaskazini wa Ikweta, tofauti huwa kubwa zaidi. .
Kwa kawaida kuna tofauti kati ya urefu wa mchana na usiku isipokuwa Katika kanda karibu na ikweta hazionekani kirahisi lakini kwenye nusutufe za dunia upande wa kusini na kaskazini ya ikweta zimetambuliwa tangu karne nyingi na zimekuwa siku muhimu kwa makadirio ya [[kalenda]] mbalimbali.
Line 66 ⟶ 68:
Vivyo hivyo wakati wa Desemba Jua Jua linafika mahali pa juu kwenye anga kwa mtazamaji kwenye [[nusutufe ya kusini]] ya Dunia, baadaye inaanza kushuka yaani kuonekana chini zaidi angani hadi [[Sikusare machipuo|sikusare ya Machi]]. Siku ileile Jua linafika mahali pa chini angani pawezekanavyo kwa mtazamaji kwenye [[nusutufe ya kaskazini]] ya Dunia.
==Marejeo==
|