Roketi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Soyuz rocket ASTP.jpg|thumb|upright|Roketi aina ya [[Soyuz-U]], huko [[Baikonur cosmodrome]] katika nchi ya [[Kazakistani]].]]
'''Roketi''' ([[Kiingereza]] ''rocket'') ni chombo chenye umbo la bomba kinachopazwa angani kwa nguvu ya gesi inayotoka nje. Tofauti na [[injini ya jeti]] roketi hubeba fueli yote ndani yake kwa hiyo inafanya kazi pia katika [[ombwe]] pasipo na [[oksijeni]] au dutu nyingine inayohitajika kwa kuchoma fueli ndani ya injini yake.
'''Roketi''' (kwa [[Kiingereza]] "rocket" kutoka [[neno]] la [[Kiitalia]] "rocchetto", yaani "bobbin") ni [[kombora]] au chombo chochote kinachosukumwa na [[injini]] roketi.
 
Roketi hutumiwa kama [[silaha]] ya kijeshi, kama alama kiashiria katika hali ya dharura, [[fataki]] na kwa [[usafiri wa anga la nje]].
 
Matumizi ya roketi kwa ajili ya [[jeshi]] na hata kwa [[burudani]] yalianza zamani sana, [[karne ya 13]] huko [[Uchina]].
 
{{tech-stub}}
 
[[Jamii:Silaha]] [[Jamii:Usafiri wa anga la nje]]