Mashahidi wa Yehova : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
→Hoja dhidi yao: mashahidi wa Yehova |
||
Mstari 1:
[[Picha:Watchtower Bible & Tract Society (world headquarters).jpg|thumb|200px|
{{Ukristo}}
'''
Tofauti na Wakristo karibu wote, hao hawamuamini [[Yesu]] kuwa [[Mungu]] sawa na [[Baba]], wala [[Roho Mtakatifu]] kuwa [[nafsi]], na kwa jumla hawakubali [[imani]] katika [[Utatu]] wa nafsi katika Mungu pekee. Kwa sababu hiyo [[madhehebu]] mengi hayawatambui kama Wakristo wala hayakubali [[ubatizo]] wao.
Mstari 10:
== Hoja dhidi yao ==
Wengi wamelaumu Mashahidi wa Yehova hasa kutokana na jinsi walivyotafsiri na wanavyofafanua Biblia, mafundisho yao, [[katazo
Kwa sababu hizo katika nchi mbalimbali dini hiyo iliwahi kukatazwa, kama nchini [[Tanzania]] wakati wa [[urais]] wa [[Julius Nyerere]]
Kazaksatan,Eritrea na sasa wamepigwa Marufuku nchini URRUSI na Biblia yenye tafsili sahihi na lugha ya kisasa ya ULIMWENGU MPYA{New world translation} I metangazwa kuwa UCHOCHEZI {Extremist} Na wao kutangazwa kuwa watu wenye msimamo mkali wa kidini hali inayovunja UHURU WA IBADA na KUKATAA KUJIUNGA NA JESHI KWASABABU YA DHAMIRI.
==Tanbihi==
Mstari 39:
=== Tovuti rasmi ===
* [http://www.jw.org/sw/ Mashahidi wa Yehova]
* [http://
=== Tovuti nyingine ===
|