Laurenti wa Canterbury : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|220px|Kaburi la Mt. Laurenti huko [[Canterbury.]] '''Laurenti wa Canterbury''' (alifariki 2 Februari...'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[image:Staugustinescanterburygravelaurence.jpg|thumb|220px|[[Kaburi]] la Mt. Laurenti huko [[Canterbury]].]]
'''Laurenti wa Canterbury''' (alifariki [[2 Februari]] [[619]]) kuanzia [[mwaka]] [[604]] alikuwa [[askofu mkuu]] wa [[mbili|pili]] wa [[Canterbury]] ([[Uingereza]]).
 
Alikuwa ametumwa huko na [[Papa Gregori I]] mwaka [[595]] kama [[mmisionari]] kwa [[Waangli]] na [[Wasaksoni]] pamoja na [[Augustino wa Canterbury]].