Ayatollah : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|da}} using AWB (10903) |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Grand Ayatollahs Qom فتوکلاژ، آیت الله های ایران-قم 01.jpg|thumb|330x330px]]
'''Ayatollah''' ([[kiajemi]]: آيت الله, [[kiar.]]: '''آية الله''' ayatu 'llah - "alama ya Allah/Mungu") ni cheo cha kiongozi wa kidini katika [[Uislamu]] wa [[Shia]] hasa nchini [[Uajemi]] na pia [[Iraq]].
Cheo cha ayatollah hakilingani na [[kuhani]] au [[askofu]] katika dini nyingine. Kinafanana zaidi ya [[profesa]] wa chuo kwa sababu ayatollah hutambuliwa baada ya kumaliza masomo yake na kufundisha kwa muda fulani. Akionekana anajua mambo yake anaheshimiwa na akina ayatollah waliomtangulia ataanza kuitwa hivyo.
|