Muundo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
imeandikwa na athumani chipofya |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Muundo''' katika [[lugha]] ni mpangilio na mtiririko wa visa na matukio katika kazi ya [[Fasihi|kifasihi]]. Hapa tunachunguza jinsi [[msanii]] wa kazi hiyo alivyounda na alivyounganisha
* Aina ya muundo
* Mgawanyo wa kazi hiyo
*
== Aina za muundo ==
*
=== Muundo
* Huu ni muundo wa moja kwa moja ambao visa na matukio vimepangwa katika hali ya kufuatana kuanzia tukio la kwanza hadi la mwisho.
=== Muundo
* Ni aina ya visa na matukio. Hapa kunakuwa na visa viwili au zaidi ambavyo hurukiana katika kusimuliwa kwake na mwisho wa visa hivi hugawana na kuwa kisa kimoja.
=== Muundo
* Huu ni muundo ambao kunakuwa na muundo wa msago na rukia. Hapa visa huanza kwa urejeshi na kumaliziwa na msago.
==
*
*
* Idadi ya mstari kwa ubeti =ushauri
== Umbo la kazi hiyo ==
{{mbegu-lugha}}
[[Jamii:Fasihi]]
|