Vumatiti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza picha |
Badiliko la sanduku la uainishaji |
||
Mstari 10:
| oda = [[Pelecaniformes]] (Ndege kama [[Korongo (Ciconiidae)|makorongo]])
| familia = [[Ardeidae]] (Ndege walio na mnasaba na [[koikoi]])
| bingwa_wa_familia = [[William Elford Leach|Leach]], 1820
| subdivision = '''Jenasi 5:'''
* [[
* [[
* [[
* [[Tigrisoma]] <small>[[William Swainson|Swainson]], 1827</small>
* [[Zonerodius]] <small>[[Tommaso Salvadori|Salvadori]], 1882</small>
}}
'''Vumatiti''' ni [[ndege]] wakubwa wa [[nusufamilia]] [[Botaurinae]] na [[Tigrisomatinae]] katika [[familia]] ya [[Ardeidae]] ambao wana domo refu na nyembamba lakini shingo fupi kuliko [[spishi]] nyingine za familia hii. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, nyeusi na kahawia. Vumatiti hula [[samaki]], [[amfibia]] na [[mdudu|wadudu]] wa maji. Hizi ni spishi zinazojificha ndani ya uoto. Hujenga tago lao kwa matawi, [[nyasi|manyasi]] na [[mmea|mimea]] ingine katikati ya [[tete|matete]] au juu ya miti. Tago limefichika kwa kawaida.
|