George mfiadini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|200px |Mchoro wa [[Hans von Kulmbach (1510 hivi).]] File:De Grey Hours f.31.v St....'
 
No edit summary
Mstari 6:
'''George''' (kwa [[Kigiriki]]: Γεώργιος, ''Geṓrgios''; kwa [[Kilatini]]: Georgius; [[256]]/[[285]] - [[23 Aprili]] [[303]]) alikuwa [[askari]] wa [[Dola la Roma]] mwenye [[asili]] ya Kigiriki<ref>George's parents were Christians of Greek background, his father Gerontius ({{lang-gr|Γερόντιος}}, Gerontios meaning "old man" in Greek) was a Roman army official from [[Cappadocia]], and his mother Polychronia (Greek name, meaning she who lives many years) was a Christian and a Greek native</ref><ref name=cathonline>[http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=280 "St. George", Catholic Online]</ref> kutoka [[Lod|Lydda]] (leo nchini [[Israeli]]).
 
Alifanya [[kazi]] kama [[afisa]] katika kikosi cha kumlinda [[kaisari]] [[Diocletian]], lakini alipokataa kuasi [[imani]] yake ya [[Kikristo]], aliuawa huko [[Nicomediaİzmit|Nikomedia]], [[mkoa]] wa [[Bitinia]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref>{{cite book|last1=Attwater|first1=Donald|title=Dictionary of Saints|year=1995|origyear=1965|location=London|publisher=Penguin Reference|edition=Third|page=152|quote=His best-known story, popularized in the later middle ages by the ''[[Golden Legend]]'', tells that he was a knight from Cappadocia, who rescued a maiden princess from a dragon at Silene in Libya, leading to the Christianity of much of the kingdom.}}</ref>.
 
Tangu kale anaheshimiwa sana na [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mengi kama [[mtakatifu]]. Hata katika [[vitabu]] vya [[Uislamu]] anatajwa kama [[nabii]] جرجس, Jiriyas (au ''Girgus'')<ref name=Littlefield>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=lNAWAgAAQBAJ&pg=PA313&hl=en&sa=X&ved=0ahUKEwiE1rOukfnXAhUKro8KHf4nA94Q6AEIMDAC|title=The A to Z of Prophets in Islam and Judaism|author=Scott B. Noegel, Brannon M. Wheeler|publisher=Rowman & Littlefield|page=313}}</ref>.