Sinodi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Sinodi''' (kwa [[Kiingereza]] "synod", kutoka [[Neno|maneno]] ya [[Kigiriki]] σύν, syun, "pamoja" na
Kiasili sinodi ilikuwa mkutano wa ma[[askofu]] wa eneo fulani.
Mstari 5:
Wakati mwingine neno "[[mtaguso]]" hutumiwa kwa kutaja [[sinodi ya maaskofu]] wote, kwa mfano [[mtaguso mkuu]] ni mkutano wa maaskofu wote wa [[Kanisa Katoliki]] [[duniani]].
Mara nyingi mkutano mkuu wa [[dayosisi]] au wa [[jimbo]] la Kanisa huitwa pia "sinodi".
Katika [[madhehebu]] ya [[uprotestanti|Kiprotestanti]] sinodi hujumlisha [[wachungaji]] pamoja na [[walei]].
[[Wapresbiteri]] hutumia neno "sinodi" kwa ajili ya mikoa yao ikitawaliwa na sinodi, yaani mkutano wa wajumbe kutoka [[Usharika|shirika]] mbalimbali.
==Viungo vya nje==
Mstari 23:
{{mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:
[[Jamii:Historia ya Kanisa]]
|