Enzi ya kati : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:St Michaels Church Hildesheim.jpg|thumb|300px|Kanisa la Mt. Michael mjini [[Hildesheim]] ([[Ujerumani]]) ni mfano bora wa usanifu wa enzi ya kati]]
'''Enzi ya Kati''' (pia: [[Zama za Kati]]) ilikuwani kipindi cha [[historia]] ya [[Ulaya]] kati ya mwisho wa [[Dola la Roma]] mnamo mwaka [[500]] na [[matengenezourekebisho]] makuuwa ya kanisa[[Kanisa]] mnamo mwaka [[1500]].
[[Historia ya Ulaya]] hugawanywa mara nyingi katika vipindi vitatu vya [[Enzi ya Kale]], [[Enzi ya Kati]] na [[Enzi ya Kisasa]]. Hata kama ugawaji huuhuo umetokana na [[mazingira]] ya Ulaya tu, hutumiwa pia kwa maeneo mengine ya [[dunia]]. [[Wataalamu]] wengi huamini ya kwamba haufai sana kidunia lakini hadi sasa hakuna mpangilio mwingine kwa dunia yote unaoeleweka kirahisi hivi.
 
==Mwanzo wa kipindi cha Enzi ya Kati==
Kabla ya Enzi ya Kati kulikuwa na [[ustaarabu]] wa Dola la Roma. [[Milki]] hiihiyo kubwa ilijenga [[utamaduni]] uliounganisha nchi za [[Afrika ya Kaskazini]], [[Asia ya Magharibi]] na [[Ulaya ya Kusini]] pamoja na [[Ulaya ya Magharibi. Katika eneo hili kubwa palikuwa na uchumi ulioendela na njia za mawasiliano kama barabara, mabandari hata aina ya [[posta]]. Ustaarabu huu ulikuwa na idadi ya watu waliojua kusoma na kuandika. Lugha za pamoja kama [[Kilatini]] na [[Kigiriki]] zilieleweka na asilimia fulani ya watu kote katika dola hili. Hata kama watu wengi hasa watu wa vijijini na watumwa hawakujua kusoma bado walikuwepo watu waliojua kila sehemu ya dola.
 
Katika eneo hili kubwa palikuwa na [[uchumi]] ulioendelea na njia za [[mawasiliano]] kama [[barabara]], [[bandari]] na hata aina ya [[posta]].
Ustaarabu huu uliporomoka pamoja na matatizo ya kiuchumi, gharama kubwa kwa jeshi na mashambulio ya makabila ya nje hasa ya Wagermanik yaliyoweza kuingia ndani ya Dola la Roma bila kulingana na utamaduni wa ustaarabu huo. Roma ilishindwa kutunza utaratibu wake mbele ya mashambulio na [[uhamisho mkuu wa Ulaya]].
 
Ustaarabu huo ulikuwa na [[idadi]] ya watu waliojua kusoma na kuandika. [[Lugha]] za pamoja kama [[Kilatini]] na [[Kigiriki]] zilieleweka na [[asilimia]] fulani ya watu kote katika [[dola]] hili. Hata kama watu wengi, hasa watu wa [[Kijiji|vijijini]] na [[watumwa]], hawakujua kusoma bado walikuwepo watu waliojua kila sehemu ya dola.
(ya kuendelea)
 
Ustaarabu huuhuo uliporomoka pamoja na matatizo ya kiuchumi, [[gharama]] kubwa kwaya [[jeshi]], kupungua kwa [[uzazi]] na mashambulio ya [[Kabila|makabila]] ya nje, hasa ya [[Wagermanik]], yaliyoweza kuingia ndani ya Dola la Roma bila kulingana na utamaduni wa ustaarabu huo. Roma ilishindwa kutunza utaratibu wake mbele ya mashambulio na [[uhamisho mkuu wa Ulaya]].
==Viungo vya Nje==
 
==Viungo vya Njenje==
*[http://sd71.bc.ca/sd71/school/courtmid/Library/subject_resources/socials/middleagesframe.htm Student resources]
 
Line 18 ⟶ 20:
[[Category:Enzi za Kati| ]]
[[category:Vipindi vya kihistoria]]
 
[[bar:Mittelalter]]
[[ku:Çaxa Navîn]]
[[nds-nl:Middeleeuwn]]
[[th:ยุคกลาง]]
[[vec:Medioevo]]