Ufagio : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Besenbinder.JPG|thumb|upright|Mtu akitengeneza fagio.]]
'''Ufagio''' (kutoka [[kitenzi]] "kufagia") ni [[kifaa]] kinachotumika katika [[usafi]] wa sehemu mbalimbali.
Kazi za Ufagio
*Fagio hutumika kusafisha eneo,vitu n.k
Katika [[utamaduni]] wa [[Afrika Mashariki]] [[chelewa]] ni [[njiti]] nyembamba ndizo zinazotumika kutengezea ufagio. Pia vinaweza kutumika [[nyasi]] au [[makumbi]].
|