Mtemi Mirambo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[image:Mirambo mnamo 1880.jpgpng|thumb|[[Mchoro]]Mirambo kutokakatika [[kitabu]]miaka chaya James1880, Williamkabla Buelsya kuhusukifo "Mashujaachake]] wa Afrika" ([http://1890 1890])]]
'''Mtemi Mirambo''' ([[1840]]-[[1884]]) alikuwa [[mfalmemtemi]] wa [[Wanyamwezi]] katika [[magharibi]] ya [[Tanzania]] ya leo.
 
[[Jina]] lake la awali lilikuwa "MtyelaMteyla Kasanda", lakini nialikuwa maarufu zaidi kama '''Mirambo''' (yaani "maiti nyingi"). Alizaliwa kama mwana wa mtemi wa Uyowa, moja kati ya maeneo madogo ya Unyamwezi akarithi utemi kutoka babake mnamo mwaka 1860.
 
Mirambo aliwahi kutajirikaalitajirika kama [[mfanyabiashara]] ya [[pembe za ndovu]] na [[watumwa]] kwa njia ya [[Biashara ya misafara|misafara]] kati ya [[pwani]] ya [[Bahari Hindi]] na [[Kongo]].
 
Alitumia sehemu kubwa ya [[utajiri]] wake kujenga [[jeshi]] la binafsi. Kwa kusudi hilo alinunua [[bunduki]] aina ya [[gobori]] na kukusanya [[vijana]] wengi walioitwa "rugaruga". [[Rugaruga]] hao walihofiwa kote. Inasemekana ya kwamba kabla ya mapigano walipewa [[pombe]] na [[bangi]] kwa kusudi la kuongeza ukatili na kupunguza [[hofu]] yao ya kifo.