DNA : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza jina la Kiswahili |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:DNA orbit animated small.gif|thumb|right|Mfano wa mfumo wa DNA.]]
'''DNA''' ni
[[
Molekuli ya DNA ina [[umbo]] kama [[ngazi]] mbili za kupanda zilizounganishwa pamoja na
DNA ina uwezo wa kujinakili. Wakati wa kuzaa DNA inajipasua katikati ya pande mbili za "ngazi" yake. Hivyo [[nusu]] "ngazi" ya upande wa [[mzazi]] mmoja inaungana na nusu "ngazi" ya mzazi mwingine.
Tabia kama [[ukubwa]], [[rangi]] ya [[ngozi]] au [[nywele]] ziko kila moja mahali pake; zikiunganishwa za [[baba]] na [[mama]], [[kemia]] inaamua ni upande gani wenye [[athira]] zaidi na hivyo utajitokeza kwa [[mtoto]].
DNA inatokea hasa ndani ya [[kromosomu]] kwenye [[kiini cha seli]].
== Viungo vya Nje ==▼
* http://www.ornl.gov/sci/techresources/Human_Genome/project/info.shtml▼
==Tanbihi==
{{reflist}}
▲== Viungo vya Nje ==
▲* http://www.ornl.gov/sci/techresources/Human_Genome/project/info.shtml
[[Jamii:Jenetikia]]
|