Taya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Human jawbone left.jpg|thumbnail|right|Taya ya chini ya binadamu.]]
'''Taya''' ni sehemu ya muundo wa [[kinywa]] wa [[wanyama]] wengi.
==Mataya ya vertebrata==
Kwenye [[vertebrata]] (au wanyama wenye [[uti wa mgongo]]) mataya yanajengwa kwa [[mfupa]] au [[gegedu]] na kupatikana kwa [[jozi]], yaani taya la chini na taya la juu. Kwa [[spishi]] nyingi huwa na [[meno]].
Kwenye wanyama wenye [[miguu]] minne mifupa ya taya la juu imeunganishwa na mifupa ya [[fuvu]] ya [[ubongo]]. Taya la chini linaunganishwa kwa njia mbalimbali na taya la juu. [[Nyoka]] zinaweza kuachana mataya yote mawili kabisa na hivyo kumeza hata windo kubwa sana.
Mstari 10:
==Mataya ya arithropodi==
[[Picha:Bullant head detail.jpg|thumbnail|Mataya ya kando ya sisimizi.]]
Kwenye [[arithropodi]] kama [[wadudu]] mataya yako kando ya kinywa na yamejengwa kwa [[chitini]]. Yanashika chakula, pia wanyama wadogo wengine wanaowindwa na kukipasua.
==Shida za taya
Shida
Kuna watu pia huzaliwa na taya zisizo laini. Endapo unapatwa na shida za taya kama vile kutokuwa laini basi waweza kumuuliza [[daktari
▲Shida zinazokuba taya ni kama jaw pain ambapo unapatwa na maumivu kwa mataya. Hili laweza kuwa limesababishwa na: ajali uliyopata na taya zako zikaumizwa, sinuses au mshtuko wa moyo(heart attack). Pia misuli inayoshikilia taya yaweza kuwa imeumia.
▲Kuna watu pia huzaliwa na taya zisizo laini. Endapo unapatwa na shida za taya kama vile kutokuwa laini basi waweza kumuuliza daktari wako wa meno akuweke [[:en:Dental_braces|dental braces]]. Braces meno ni vifaa vya chuma vinavyofungamishwa na kushikisha meno ili mtu aweze kuuma vitu au hata taya zake zinyooke.
{{mbegu-anatomia}}
[[jamii:kiunzi]]
[[Jamii:Kinywa]]
|