Balozi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Vladimir Putin with Patrick Segeja Chokala.jpg|250px|thumb|Balozi Chokala kutoka [[Tanzania]] akikabidhi barua rasmi ya kutambulishwa kwa [[rais]] wa [[Urusi]] [[Vladimir Putin]].]]
'''Balozi''' ni mwakilishi rasmi wa [[serikali]] ya nchi yake katika nchi nyingine. Anatumwa
Kwa kawaida anaongoza [[ofisi]] ya [[ubalozi]] ambako anasaidiwa na [[afisa|maafisa]] wengine wanaotumwa katika utaratibu wa [[diplomasia]].
Nchi zinazopokea ubalozi zinakubali pia [[huria ya kidiplomasia]] inayomaanisha ya kwamba balozi na [[wanadiplomasia]] Balozi mpya anatumwa na barua rasmi kutoka [[wizara]] yake akikubaliwa na nchi anapohudumia. Nchi inayompokea inaweza kumwambia pia aondoke tena. Balozi hutumwa kwenda nchi nyingine kwa miaka kadhaa akirudi baadaye katika nchi yake ambako anaweza kuendelea kufanya kazi ndani ya wizara au kutumwa tena kwa nchi nyingine.
==Matumizi mengine==
Nchini [[Tanzania]] [[jina]] "balozi" hutumiwa pia kumtaja "balozi wa nyumba kumi" (
[[Jamii:Diplomasia]]
[[Jamii:Serikali]]
[[Jamii:Sheria]]
|