Njia ya Jua : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Ecliptic with earth and sun animation.gif|400px|thumb|Kwa
'''Ekliptiki''' (kutoka [[
==Asili ya kutambua ekliptiki==
Ekliptiki haionekani kirahisi kwa [[macho]] kwa sababu tunaona Jua wakati wa [[mchana]] ambako nyota hazionekani.
Lakini wakati wa mapambazuko na machweo nyota zinaanza kuonekana tukitambua ni karibu na nyota gani ya kwamba jua linapambazuka na kuchwa. ▼
▲Lakini wakati wa [[mapambazuko]] na [[machweo]] nyota zinaanza kuonekana
Tukiangalia tena nyota zilizopo angani karibu na sehemu ya kuchwa baada ya wiki 4 tunaona kumbe zimekuwa tofauti. Nyota hizi katika sehemu ambako Jua linatokea au kupotea kwa macho ya mtazamaji zinabadilika mwezi kwa mwezi lakini baada ya mwaka moja ni tena nyota zilezile.▼
▲Tukiangalia tena nyota zilizopo angani karibu na sehemu ya kuchwa baada ya [[wiki]] 4 tunaona kumbe zimekuwa tofauti. Nyota hizi katika sehemu ambako Jua linatokea au kupotea kwa macho ya mtazamaji zinabadilika [[Mwezi (wakati)|mwezi]] kwa mwezi lakini baada ya mwaka
==Zodiaki au mzingo wa mwaka==
Tangu miaka
Vilevile tangu kale watu waliwahi kupanga nyota za angani katika [[kundinyota]]. Kwa jumla ni kundinyota 12 za kurudia zilizoonekana tangu kale ya kuwa Jua linapita katika maeneo yake katika muda wa mwaka. [[Mzingo]] unaounganisha kundinyota hizi 12 ambako Jua linapita ni mstari wa ekliptiki.
Kundinyota karibu zote kwenye mstari wa ekliptiki zinataja wanyama wa [[mitholojia ya Kigiriki]]. [[Wagiriki wa Kale]] wakioona hasa picha za wanyama fulani katika mstari huu wakaita mzingo wote ζῳδιακὸς κύκλος ''zoodiakos kiklos'', yaani "mzingo wa wanyama". Hapa ni asili ya jina la [[Zodiaki]] (pia Zodiki) inayotumiwa katika lugha nyingi; Waarabu wanasema hapa دائرة البروج dairat-al-buruj "mzingo wa minara" kwa sababu wanaita kundinyota hizi "minara za falaki" na dhana hili lilipokelewa katika Kiswahili kwa jina la "[[buruji za falaki]]".▼
[[Jina]] "ekliptiki" linatokana na [[neno]] la [[Kigiriki]] Εκλειψις ''ekleipsis'' linalotaja [[Kupatwa kwa Jua]] au [[Kupatwa kwa Mwezi]]. Maana kila mara tukio kama hili linatazamwa Jua au Mwezi uko kwenye mstari wa ekliptiki.
▲Kundinyota karibu zote kwenye mstari wa ekliptiki zinataja [[wanyama]] wa [[mitholojia ya Kigiriki]]. [[Wagiriki wa Kale]]
[[Waarabu]] wanasema hapa دائرة البروج dairat-al-buruj "mzingo wa minara" kwa sababu wanaita kundinyota hizi "minara za falaki" na dhana hili lilipokewa katika [[Kiswahili]] kwa jina la "[[buruji za falaki]]".
==Miendo ya Jua inayoonekana ==
Hali halisi Jua linakaa katika [[kitovu]] cha [[mfumo wa Jua]] likizungukwa na [[sayari]], na wakati huohuo unazunguka polepole kitovu cha [[Njia Nyeupe]] pamoja na [[Mfumo wa jua|mfumo wake]] wa [[sayari]], [[miezi]] na [[asteroidi]].
Dunia yetu ni sayari mojawapo inayozunguka kwenye [[mhimili wa mzunguko|mhimili wake]] ukifuata [[obiti]] yake ya kuzunguka Jua. Lakini hii hatuwezi kuona moja kwa moja na hali hii imetambuliwa tu wakati wa [[karne]] iliyopita. Kwa macho ya mtazamaji aliye duniani kuna miendo miwili tofauti ya Jua:
'''* Mwendo wa Jua kuhusiana na Dunia:''' Jua linapita angani kuanzia [[mashariki]] hadi [[magharibi]], kila siku
'''* Mwendo wa Jua kuhusiana na Nyota:'''
[[Picha:Bapa la mfumo wa Jua.png|400px|thumb|Bapa la mfumo wa Jua tunapokuta obiti zote za sayari.]]
==Bapa la Mfumo wa Jua==
Msingi wa kutambua ekliptiki ni [[umbo]] la Mfumo wa Jua letu. Leo hii inadhaniwa asili yake ni mzunguko wa [[masi]] kubwa wa [[vumbi]] iliyokuwa takriban na umbo la [[sahani]] iliyozunguka.
Sehemu kubwa ya masi ilijikaza katika kitovu na kuwa Jua lenyewe. Katika sehemu za nje ya sahani hiyo palikuwa na sehemu mbalimbali ambako masi ilijikaza pia; masi hizi hazikutosha kuanzisha mchakato wa [[Nyuklia|kinyuklia]] hivyo ni vyanzo yva sayari.
Katika sehemu nyingine masi hazikutosha kujikaza na hapo tunapata sehemu za Mfumo wa Jua kama vile [[kanda la asteroidi]] kati ya Dunia na [[Mirihi]] au [[kanda ya Kuiper]] ng'ambo ya sayari [[Neptun]].
kwa hiyo bapa hili huitwa pia "bapa la ekliptiki" .▼
Kutokana na asili ya pamoja katika sahani asilia ya mfumo wa Jua tunakuta sayari zote zinapatikana takriban katika bapa moja. Pia miendo yote ya sayari inafuata mwelekeo huohuo.
[[Jamii:astronomia]]
|