Milki ya Osmani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:OttomanEmpireIn1683.png|thumb|right|450px|Milki ya Osmani mwaka 1683.]]
[[Picha:Gentile Bellini 003.jpg|thumb|right|250px|[[Sultani]] [[Mehmed Fatih]]
'''Milki ya Osmani''' (pia: '''Ottomani''')<ref>[[Historia Kuu ya Afrika]] hutumia "Ottomani"
[[Milki]] ilianzishwa na [[Waturuki]] [[Waosmani]] ikachukua nafasi ya [[ukhalifa wa Waabbasi]] na [[Milki ya Bizanti]].
[[Mji mkuu|Mji wake mkuu]] ulikuwa [[Konstantinopoli]] (leo: [[Istanbul]]) na [[mtawala]] wake mkuu alikuwa [[Sultani]] wa Waosmani. [[Imani]] [[Dini rasmi|rasmi]] ya milki ilikuwa [[Uislamu]] hata kama katika maeneo mengi [[idadi]] kubwa ya wakazi walikuwa [[Wakristo]].
[[Tabaka]]
== Chanzo ==
Milki ilianza kama eneo
== Kutwaa kwa Bizanti ==
Mwaka [[1453]] Waosmani walitwaa [[mji]] wa Konstantinopoli na kumaliza Milki ya Bizanti wakifanya mji kuwa mji mkuu wao.
[[Picha:Ottoman small animation.gif|thumb|left|Upanuzi wa milki ya Osmani 1299–1683.]]
Katika [[karne ya 16]] Waosmani waliendelea kupanua
== Ukhalifa ==
Baada ya kushinda [[Wamamaluki]] katika [[Misri]], sultani (Selim I) alikuwa pia mkuu wa [[Makka]] na [[Madina]] akaendelea kujipatia [[cheo]] cha [[khalifa]].
[[Kilele]] cha enzi yake ilikuwa katika [[karne
== Mzee mgonjwa wa Ulaya ==
Katika [[karne ya 18]] nchi za Ulaya zilipita Milki ya Osmani
Wakati wa [[karne ya 19]] Milki ya Osmani ikaitwa "Mzee mgonjwa wa Ulaya" (pia: "Mgonjwa wa Bosporus") na ilikuwa hasa mashindano kati ya [[Urusi]], [[Ufaransa]], [[Uingereza]] na [[Austria-Hungaria]] yaliyozuia
Kwenye mwisho wa karne ya 19 Masultani walijaribu kutekeleza matengenezo
== Mwisho wa Waosmani ==
Mwisho wa milki ilikuja katika [[vita]] vya mwanzoni wa [[karne ya 20]].
Mwisho wa milki ilikuja katika vita mwanzoni wa karne ya 20. Vita za Balkani ziliondoa karibu nchi zote upande wa Ulaya kutoka utawala wa Waosmani. [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] ilimaliza milki hii. Serikali iliamua kujiunga na [[Ujerumani]] na [[Austria-Hungaria]] dhidi ya [[Urusi]], [[Uingereza]] na [[Ufaransa]]. ▼
[[Vita vya Balkani]] viliondoa karibu nchi zote upande wa Ulaya kutoka utawala wa Waosmani.
1918 jeshi na dola zikaporomoka kabisa. Milki ikagawiwa na washindi wa vita. Sehemu za Kiarabu zikawa [[nchi lindwa]] za Uingereza na Ufaransa. Katika maeneo yaliyobaki nchi mpya ya [[Uturuki]] ikaanzishwa.▼
▲
▲Mwaka [[1918]] jeshi na dola
==Marejeo==
|