Albania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 21:
|areami² = 11,100 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|percent_water = 4.7%
|population_estimate =
|population_estimate_year =
|population_estimate_rank = ya
|population_census =
|population_census_year =
Mstari 56:
'''Jamhuri ya Albania''' ni nchi ya [[Ulaya]] Kusini Mashariki. Imepakana na [[Montenegro]], [[Kosovo]], [[Jamhuri ya Masedonia]] na [[Ugiriki]]. Upande wa magharibi kuna [[pwani]] ya [[ghuba]] ya [[Adria]] ya [[bahari]] ya [[Mediteranea]].
Albania ni kati ya [[nchi
[[Mji mkuu]] ni [[Tirana]] (wakazi 418,495).
==Historia==
Mstari 64:
Albania ilikaliwa na [[Kabila|makabila]] mbalimbali ya [[iliriko|Wailiriko]], [[Wathraki]] na ya [[Wagiriki]].
Katika [[karne ya 3 KK]] eneo lilitekwa na [[Dola la Roma]] na kufanywa sehemu ya [[majimbo]] ya [[Dalmatia]], [[Masedonia]] na [[Iliriko]].
===[[Karne za Kati]]===
Mstari 84:
Kutokana na [[mapinduzi]] ya mwaka [[1991]] [[Usoshalisti|Jamhuri ya Kisoshalisti]] iliiachia nafasi [[jamhuri]] ya nne.
Kwa sasa Albania ni kati ya [[nchi maskini]] zaidi za Ulaya na wananchi wengi
==Watu==
Kati ya miaka [[1945]] na [[1990]] ilitawaliwa na [[chama cha Kikomunisti]] iliyotangaza Albania kuwa nchi ya kwanza ya [[ukanaji Mungu|kiatheisti]] iliyopiga [[marufuku]] kila aina ya [[dini]]. Hata hivyo, baada ya [[uhuru]] kupatikana tena, 39% za wakazi anajali sana [[imani]] fulani. Katika [[sensa]] ya mwaka [[2011]], 58.79% walijitambulisha kama [[Waislamu]] (hasa [[Wasuni]]) na 17.06% [[Wakristo]] (
== Tazama pia ==
|