Ufalme wa Muungano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 60:
==Historia==
[[Milki]] kubwa kwenye [[kisiwa]] cha [[Britania]] ilikuwa [[Uingereza]].
Tangu [[mwaka]] [[1284]] [[Welisi]] ilitawaliwa na Uingereza na katika Hati ya Muungano (Act of Union) ya mwaka [[1536]] ilikuwa sehemu ya Milki ya Uingereza.
Baada ya Vita ya uhuru ya Eire bunge la London kwa sheria ya 1920 (Government of Ireland Act 1920) liligawa Ireland kwa sehemu mbili za Northern Eireland na Southern Ireland. Wabunge waliochaguliwa katika Ireland ya Kusini walijitangaza kuwa bunge la Eire na kwa mapatano ya 1922 uhuru wa Dola Huru la Eire ilitambuliwa. Nchi mpya ilijiita tangu 1922 1937 "Jamhuri ya Eire na kuendelea kama nchi ya pekee. Mikoa ya Northern Ireland iliendelea kuwa sehemu za Ufalme wa Maungano.▼
Hati ya Muungano ya mwaka [[1707]] iliunganisha milki [[mbili]] za Uingereza na [[Uskoti]] kuwa Milki ya Britania Kuu. Nchi zote mbili zilikuwa chini ya [[mfalme]] mmoja tangu mwaka [[1603]]. Tangu wakati uleule Ufalme wa [[Eire]] (Ireland) ilitawaliwa na Uingereza pia.
Mwaka 1999 Uskoti, Welisi na Northern Ireland zilirudishwa bunge zao za pekee. ▼
[[Sheria]] ya mwaka [[1800]] iliunganisha Ufalme wa Britania Kuu na Ufalme wa Eire na hivyo kuunda Ufalme wa Muungano (United Kingdom of Great Britan and Ireland).
Uskoti ilikuwa na harakati pana ya kuondoka katika Ufalme wa Maungano lakini katika kura ya watu wa Uskoti ya mwaka 2014 asilimia 55 waliamua kubaki.▼
Baada ya [[Vita vya uhuru vya Eire]] [[bunge]] la [[London]] kwa sheria ya mwaka [[1920]] (Government of Ireland Act 1920) liligawa Ireland katika sehemu mbili za Northern Ireland na Southern Ireland.
Kumbe kura ya wananchi wa Ufalme mzima ya mwaka 2016 iliamua kuondoka katika [[Umoja wa Ulaya]] kwa asilimia 51.9.▼
▲
▲Uskoti
▲Kumbe kura ya wananchi wa Ufalme mzima ya mwaka [[2016]] iliamua kuondoka katika [[Umoja wa Ulaya]] kwa asilimia 51.9.
==Wakazi==
|