Volkeno : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Volcano q.jpg|thumb|400px|Volkeno hai.]]
'''Volkeno''' (pia: '''volkano''' au '''volikano''') ni mahali ambako [[zaha]] inatoka nje
▲'''Volkeno''' (pia: '''volkano''') ni mahali ambako [[zaha]] inatoka nje kwa uso wa ardhi. Mara nyingi -lakini si kila mahali- volkeno ni [[mlima]]. Volkeno huwa na [[Kasoko ya volkeno|kasoko]] yaani shimo ambako zaha na gesi inatoka nje.
==Asili ya jina==
[[Asili]] ya [[jina]] ni [[Miungu|mungu]] wa
==Volkeno na ganda la dunia==
Volkeno ni [[dalili]] ya kwamba mahali pake [[ganda la dunia]] si nene sana, hivyo [[joto]] la ndani linapata [[njia]] ya kutoka nje. Volkeno huanza katika [[tambarare]]. Zaha hutoka katika hali ya [[kiowevu]]; ikipoa haraka inaganda kuwa [[mwamba]] na hujenga mlima wa kuzunguka shimo la kasoko yake. Milima ya aina
Volkeno nyingi hutokea pale ambako [[bamba la gandunia|mabamba ya ganda]] la dunia
Sababu nyingine ya kutokea kwa volkeno ni kuwepo kwa [[chumba]] cha [[magma]] ndani ya ganda la dunia.
==Volkeno hai na volkeno bwete==
Volkeno inaweza kupatikana kama volkeno hai inayoendelea kutema moto, gesi na [[majivu]]. Inaweza pia kuonekana kama volkeno bwete inayokaa kama milima mingine bila kuonyesha dalili za moto. Lakini kutokana na [[umbo]] na [[tabia]] za miamba yake inaonekana mlima huu ulijengwa kwa njia ya kivolkeno.
Volkeno bwete inaweza kuamka tena. Mara nyingi kuwepo kwa [[chemchemi]] za [[maji ya moto]] au kutokea kwa gesi kwenye sehemu fulani ni dalili ya kwamba bado kuna njia kati ya mlima na magma ya chini. Kipindi kati ya milipuko kinaweza kuwa miaka mingi.
==Mlipuko wa volkeno==
[[Mlipuko wa volkeno]] ni hatari sana kwa ajili ya [[wanadamu]] na [[mazingira]].
Kati ya mifano ya milipuko makali inayojulikana zaidi ni:▼
* mlipuko wa volkeno ya [[Vesuvio]], [[Italia]]. Iliharibu miji ya Pompei na Herkulaneo mwaka 79 BK.▼
* mlipuko wa volkeno ya [[Krakatau]], [[Indonesia]] mwaka 1883. Ilirusha vumbi nyingi angani kiasi kilichoonekana kote duniani▼
* mlipuko wa volkeno [[Nevado del Ruiz]], [[Kolumbia]] mwaka 1985 uliua watu 25.000 kutokana na kuyeyusha [[theluji]] na [[barafu]] mlimani na kusababisha mafuriko ya ghafla▼
▲* mlipuko wa volkeno ya [[Vesuvio]], [[Italia]]. Iliharibu miji ya [[Pompei]] na Herkulaneo [[mwaka]] [[79]] [[BK]].
[[Ol Doinyo Lengai]] ni volkeno ndogo iliyolipuka [[Tanzania]] kaskazini mwaka 2006.▼
▲* mlipuko wa volkeno ya [[Krakatau]], [[Indonesia]] mwaka [[1883]]. Ilirusha
▲* mlipuko wa volkeno [[Nevado del Ruiz]], [[
▲[[Ol Doinyo Lengai]] ni volkeno ndogo iliyolipuka [[Tanzania]] [[kaskazini]] mwaka [[2006]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya volkeno nchini Tanzania]]
{{mbegu-jio}}
|