Mathayo I wa Aleksandria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 6:
Alisaidia kujulisha [[Waislamu]] kwamba [[Wakristo]] wa [[Misri]] hawahusiki na maovu ya wenzao wa [[Ulaya]] wakati wa [[Vita vya msalaba]].
Alipochaguliwa kuwa [[Papa wa Aleksandria]] alianza kujiita ''El Meskin'' ("Maskini") akawa na misaada mikubwa kwa [[fukara|mafukara]] pamoja na kuendelea kutetea Wakristo dhidi ya [[dhuluma]] za [[Dini|kidini]].
Anaheshimiwa na Wakopti kama [[mtakatifu]].
==Tazama pia==
|