Mfumo wa Jua : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Solar sys.jpg|right|350px|thumb|Jua letu na sayari zake.]][[File:Sayari za Jua - mlingano ukubwa.png|350px|thumb|Sayari nne kubwa ziliundwa hasa na gesi, nyingine ni sayari ndogo kama dunia yetu za mwamba.<ref>Hand, Eric (January 20, 2016).</ref>]]
'''Mfumo wa jua''' (''[[:en:solar system]]'') ni utaratibu wa [[jua]] letu, [[sayari]] na [[sayari kibete]] zinazolizunguka pamoja na [[Mwezi (gimba la angani)|miezi]] yao, [[asteroidi]], [[meteoridi]], [[kometi]] na [[vumbi ya angani]], vyote vikishikwa na [[nguvu mvutano]]
[[Utaalamu]] kuhusu mfumo wa jua hujadiliwa katika [[fani]] ya [[astronomia]].
Mstari 7:
Karibu [[masi]] yote ni ya jua lenyewe, likiwa na [[asilimia]] 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.
[[Umbali]] kati ya jua na [[dunia]] yetu ni takriban [[kilomita]]
Pamoja na sayari kuna [[idadi]] kubwa ya [[violwa]] vingine. Vingi ni vipande vidogo vya [[mwamba]] vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye [[umbo]] la mwirino ambazo ni [[ukanda wa asteroidi]], [[ukanda wa Kuiper]] na [[wingu la Oort]].
Mstari 18:
== Sayari za jua letu ==
Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi [[Zohali]] (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya [[saba]] na [[nane]] ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa [[darubini]]. Hadi mwaka [[2006]]
Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:
Mstari 122:
Mwaka 2017 [[kiolwa cha anga]] kilitazamiwa kilichotoka nje ya mfumo wa jua letu. Kiolwa hiki kilichoitwa [[ʻOumuamua]] kilifika kwa njia isiyolingana na bapa la sayari za mfumo wa jua tena kwa kasi kubwa mno hivyo ilionekana si sehemu ya mfumo wetu.
==Kutokea kwa Mfumo wa Jua==
[[Picha:Solarnebula.jpg|thumb|300px|
[[Picha:Nguvu zinazotawala umbo la nyota.png|300px|thumb|Uwiano baina ya graviti na shinikizo la mnururisho unafanya nyota kuwa thabiti.]]
Mfumo wa Jua ulianza kutokea muda mrefu sana na wataalamu wanaendelea kujadili nadharia zinazoeleza tabia zake kulingana na kanuni za fizikia.
Nadharia inayokubaliwa na wataalamu wengi ni hivi<ref>Linganisha [http://atropos.as.arizona.edu/aiz/teaching/nats102/mario/solar_system.html Solar System], tovuti ya Chuo Kikuu cha Arizona, idara ya astronomia</ref>:
*takriban miaka [[bilioni]] 4.5 iliyopita kulikuwa na [[wingu la molekuli|wingu kubwa la molekuli]] lililozunguka kitovu cha galaksi yetu yaani [[Njia Nyeupe]]. Wingu
*Sehemu moja ya wingu kubwa ambako molekuli zilianza kukusanyika iliendelea kuzunguka kwenye [[mhimili]] wake na kuongeza mzunguko
*[[Myeyungano
*
*
==Marejeo==
|