Content deleted Content added
No edit summary
Tag: 2017 source edit
Mstari 14:
==Kaunti za Kenya==
Ndugu, hongera kwa kurasa zako nzuri na kwa maendeleo yako katika kuhariri. Naomba ukiwa Kenya, utuharirie kurasa za kaunti zake zote, kwa kuwa mpaka sasa Wikipedia imeishia katika mikoa na wilaya kama kabla ya katiba mpya. Asante sana na amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 29 Machi 2018 (UTC)
:Karibu. Nitazipitia. '''[[Mtumiaji:Unja1234|Unja1234]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Unja1234#top|majadiliano]])''' 12:28, 29 Machi 2018 (UTC)