Utume wa Yesu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 14:
Wakati huohuo aliita baadhi kumfuata kama [[wanafunzi]] katika [[safari]] zake. Kati yao aliteua [[mitume wa Yesu|mitume 12]] kama mwanzo wa [[Kanisa]] lake.<ref name=Alister16 /><ref name=Redford117 >''The Life and Ministry of Jesus: The Gospels'' by Douglas Redford 2007 ISBN 0-7847-1900-4 pages 117-130</ref>Hao aliwaita [[mitume]] kwa sababu aliwapeleka kwanza kwa [[Waisraeli]] ([[Math]] 8) lakini baada ya [[ufufuko wa Yesu|kufufuka]] kwa ma[[taifa]] yote pia (Math 28:16-20).<ref name="New Testament' page 324">''A theology of the New Testament'' by George Eldon Ladd 1993ISBN page 324</ref><ref name=Redford143 >''The Life and Ministry of Jesus: The Gospels'' by Douglas Redford 2007 ISBN 0-7847-1900-4 pages 143-160</ref>
 
Baada ya [[kifodini]] cha Yohane Mbatizaji, Yesu alijiandaa kwenda Yerusalemu kwa mara ya mwisho ili kukamilisha [[utume]] wake kwa kujitoa [[kafara]] alivyotabiriwa na Yohane: "Huyu ndiye [[mwanakondoo]] wa [[Mungu]] aondoaye [[dhambi]] ya [[ulimwengu]]".<ref name="Steven L. Cox pages 97-110">Steven L. Cox, Kendell H Easley, 2007 ''Harmony of the Gospels'' ISBN 0-8054-9444-8 pages 97-110</ref><ref name=Redford165 >''The Life and Ministry of Jesus: The Gospels'' by Douglas Redford 2007 ISBN 0-7847-1900-4 pages 165-180</ref>
 
Safari hiyo ya mwisho ilimchukua tena kwa [[muda]] karibu na mahali alipobatizwa.<ref name="Steven L. Cox pages 121-135">Steven L. Cox, Kendell H Easley, 2007 ''Harmony of the Gospels'' ISBN 0-8054-9444-8 pages 121-135</ref><ref name="Jesus pages 189-207">''The Life and Ministry of Jesus: The Gospels'' by Douglas Redford 2007 ISBN 0-7847-1900-4 pages 189-207</ref><ref name="Steven L. Cox page 137">Steven L. Cox, Kendell H Easley, 2007 ''Harmony of the Gospels'' ISBN 0-8054-9444-8 page 137</ref><ref name="Jesus pages 211-229">''The Life and Ministry of Jesus: The Gospels'' by Douglas Redford 2007 ISBN 0-7847-1900-4 pages 211-229</ref><ref name="Bible' page 929">''Mercer dictionary of the Bible'' by Watson E. Mills, Roger Aubrey Bullard 1998 ISBN 0-86554-373-9 page 929</ref>