Ufunuo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 41:
 
Ufunuo huo wa Mungu unatufikia kupitia [[Kanisa]] lake, lililokabidhiwa [[Mapokeo ya Mitume]] na linaloongozwa na [[Roho Mtakatifu]] hadi [[ukweli]] wote. Yesu aliahidi kwamba, “Yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake” (Yoh 16:13). “Maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu” ([[1Kor]] 2:10).
 
Hivyo tupokee ufunuo wa Mungu kwa kusadiki mafundisho ya Kanisa lake, ili tuzidi kumjua na kuambatana naye bila kudanganyika. Yesu aliwaambia [[Mitume wa Yesu|Mitume wake]], “Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma” ([[Lk]] 10:16). “Sisi nasi twamsukuru Mungu bila kukoma, kwa kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe la Mungu mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la wanadamu, bali kama neno la Mungu; na ndivyo lilivyo kwelikweli, litendalo kazi pia ndani yenu ninyi mnaoamini” ([[1Thes]] 2:13).
 
Katika [[teolojia]] ya [[Ukristo|Kikristo]] [[neno]] ufunuo lina maana ya jumla ya [[dogma]] zote, yaani kweli zilizofunuliwa na zinazodai imani ya kila mtu ili kupata [[wokovu]].
Line 46 ⟶ 48:
Kwa [[Kanisa Katoliki]] kweli hizo zinapatikana katika [[Biblia]] pamoja na [[Mapokeo]] ya [[Mitume wa Yesu|Mitume]] vinavyofafanuliwa na [[Ualimu wa kanisa]].
 
Kanisa Katoliki linatofautisha pia huo [[ufunuo wa hadhara]] na [[mafunuo ya binafsi]] ambayo si lazima watu wengine wayasadiki.
 
== Uislamu ==