Antonio Meucci : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 09:24, 6 Aprili 2018
Antonio Meucci (Firenze, Italia, 13 Aprili 1808 – New York, Marekani, 18 Oktoba 1889) alikuwa Mwitalia aliyeanzisha matumizi ya simu toka mwaka 1871 huko Marekani, kabla ya Alexander Graham Bell kujitambulisha serikalini mwaka 1876 kamwa mgunduzi wa njia hiyo ya mawasilianoanga.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Antonio Meucci kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |