Mto : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Egypt_Nil.jpg|thumb|400px|Mto wa Nile nchini Misri.]]
'''Mto''' ni mwendo asilia wa [[maji]] yanayofuata [[njia]] yake kwenye mtelemko hadi [[Mdomo|mdomoni]] wake.
 
== Chanzo ==
[[Chanzo (mto)|Chanzo cha mto]] mara nyingi ni [[chemchemi]] au [[ziwa]] au maungano ya vijito vidogo. Mto hufuata mwendo wake kwa mtelemko hadi mwisho wake [[Bahari|baharini]] au ziwani au kwa mto mwingine. Kama mto ni mdogo huitwa [[kijito]]. Mto mkubwa sana kama [[Kongo (mto)|Kongo]] au [[Nile]] unaweza kuitwa mto mkubwa au jito.
 
== Lalio chini ya mto ==
Njiani yakemwake mto huwa umechimba lalio linalofanana na [[mfereji]] kati ya [[udongo]] au [[mawe]] ya kingo zake. [[Nguvu]] ya kusogeza maji mtoni ni [[uvutano]] wa [[dunia]].
 
== Mdomo na delta ==
[[Picha:Nile River and delta from orbit.jpg|thumb|right|300px|Delta ya [[Mto Nile]] inavyoonekana kutoka [[Anga|angani]] - picha ya [[NASA]].]]
Mwisho wa mto huitwa mdomo. Mdomoni kwa kawaida mto huishia katika [[gimba]] kubwa zaidi ya maji, ama mto mkubwa au [[ziwa]] au [[bahari]].
Mdomo huuhuo unaweza kuwa panampana kama kijazio hasa baharini ambako bahari inapanuka wakati wa [[maji kujaa]].
 
Mito mingine inaonyesha mdomo wa [[delta]] kama imegawanyika mdomoni kuwa na [[mikono]] mingi inayoelekea bahari kwa [[umbo]] la [[pembetatu]].
 
== TawimitoMatawimito na jinamajina ==
Njiani mito mingi inaunganika kuwa mito mikubwa zaidi. Ni [[desturi]] kutumia [[jina]] la mto ulio mkubwa zaidi mahali pa kuungana kwa ajili ya sehemu inayofuata ya mto uliopanuka.
 
Kwa mfano mito ya [[Ubangi (mto|Ubangi]] na [[Kongo (mto)|Kongo]] zinakutanainakutana kwakwenye [[mji]] wa [[Mbandaka]]. HapaHuko Kongo ni mto mkubwa kushinda Ubangi; piahivyo baada ya Mbandaka kuelekea bahari mto unaendelea kuitwa "Kongo".
 
Wakati mwingine ni swali la uzoefu tu jinsi ya kutaja mto; Kongo inaitwa [[Lualaba]] hadi mji wa [[Kisangani]]. [[Wataalamu]] wengine wanasema ya kwamba mto [[Kagera (mto|Kagera]] ingestahili kuitwa "Nile" kwa sababu ni mto uleule unapitaunaopita tu kwenye ziwa [[Viktoria Nyanza]].
 
Kuna pia uzoefu ambako jina la mto mdogo linaendelea kutumikwakutumika. [[Mto Ruvuma]] unatoka [[Songea]] na kufuata mpaka wa [[Tanzania]] na [[Msumbiji]]. InakutanaUnakutana na [[mto Lujenda]] ambayoambao ni mto mkubwa zaidi; inawezekana kusema ya kwamba Ruvuma inaingia Lujenda lakini jina la Ruvuma linatumika hadi mdomoni.
 
Mito midogo zaidi inayojiunga na mto fulani huitwa ma[[tawimito]].
 
== Beseni ==
[[Picha:Karte der Einzugsgebiete der großen Gewässer Afrikas.png|thumb|300px|[[Ramani]] ya beseni kubwa kwenye bara la Afrika ''(tahajia ya Kijerumani)''.]]
Jumla ya eneo ambako tawimitomatawimito yote hadi vijito asilia kabisa zinaanzavinaanza na kupokea maji yaoyake huitwa [[beseni ya mto|beseni]]. Sehemu kubwa ya [[Tanzania]] ya [[kaskazini]]-[[magharibi]] pamoja na [[Kenya]] magharibi ni sehemu ya beseni yala [[Nile]] kwa sababu [[tone|matone]] ya [[mvua]] kama yanafika mtoni yote huelekea ziwa [[Viktoria Nyanza]] na kuingia mto Nile kwenda bahari ya [[Mediteranea]].
 
Sehemu kubwa zaidi ya [[Afrika ya Mashariki]] inapeleka maji kwenda besenimabeseni zaya [[Rufiji (mto)|Rufiji]], [[Ruvuma (mto)|Ruvuma]], [[Ruaha Mkuu]] au [[mto Tana]] ambayo yote inaishia katika [[Bahari Hindi]].
 
Mipaka kati ya beseni huitwa [[tengamaji]]. Tengamaji kwa kawaida ni eneo la juu ambako upande mojammoja maji hutelemka kuelekea beseni moja na upande mwingine kwenda beseni tofauti. Kwa mfano tengamaji kati ya besenimabeseni zaya Ruaha Mkuu na [[Mto Zambezi]] (kupitia [[Ziwa Nyasa]]) inafuata [[milima]] ya [[Milima ya Uporoto|Uporoto]] na [[milima ya Kipengere]].
 
== Mito katika dura ya maji duniani ==
Mito inabeba kiasi kikubwa cha maji ya mvua ikirudi baharini katika [[dura ya maji]] duniani.
 
Maji ya mtoni ni maji matamu, tofauti na [[maji ya chimvichumvi]] ya baharini. Hii ni sababu ya kwamba [[mimea]], [[wanyama]] na [[watu]] hupenda kukaa karibu na mito.
 
Watu huona faida zaidi kwa sababu mito mikubwa na majito inafaa pia kwa [[usafiri]]. [[Historia|Kihistoria]] mito ilikuwa kati ya njia za kwanza kabisa za [[mawasiliano]] kati ya maeneo ya mbali.
 
== Mito kumi mirefu duniani ==
Kadirio ya [[urefu]] wa mto hutegemea jinsi ya kuhesabu tawimitomatawimito yake. Orodha inayofuata ina tofauti na orodha inayokadiria kwa namna nyingine.
 
# 6.671 km - [[Nile]]: [[Luvironza]]-[[Mto Ruvuvu|Ruvuvu]]-[[mto Ruvusu|Ruvusu]]-[[Kagera (mto)|Kagera]]-[[Nile Nyeupe]]-Nile - ([[Afrika]])
# 6.387 km - [[Amazonas (mto)|Amazonas]]: [[Apurimac]]-[[Ene]]-[[Tambo]]-[[Ucayali]]-Amazonas - ([[Amerika ya Kusini]])
# 6.380 km - [[Yangtse|Yangtse (Cháng Jiāng)]] - ([[Asia]])
# 6.051 km - [[Mississippi (mto)|Mississippi]]-[[Missouri (mto)|Missouri]] - ([[Amerika ya Kaskazini]])
Mstari 56:
 
==Mito nje ya dunia==
Mito inaweza kupatikana pia kwenye [[sayari]] nyingine penyezenye [[kiowevu]]. Maziwa na mito imegunduliwa kwenye [[Mwezi (gimba la angani)|mwezi]] [[Titan (Zohali)|Titan]] wa sayari [[Zohali]]. [[Angahewa]] ya Titan haina maji, ni karibu yote [[nitrojeni]]. Kiowevu ya maziwa na mito yake inaaminiwa kuwa [[methani]] na [[hidrokaboni]] nyingine zinazotokea duniani kama [[gesi]] lakini kwenye [[baridi]] ya Titan hupatikana kama kiowevu.
[[Chombo cha angani]] [[Cassini–Huygens|Cassini]] ya [[NASA]] ilituma [[picha]] ya mto wa Titan mwenyewenye urefu wa [[kilomita]] 400. <ref>http://www.space.com/18875-titan-nile-river-cassini.html</ref>
 
== Viungo ==
Mstari 63:
 
==Marejeo==
 
{{Reflist}}
 
{{mbegu-sayansi}}
{{mbegu-jio}}