Sumeri : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Sales contract Shuruppak Louvre AO3760.jpg|thumb|300px|[[Hati]] ya [[Kisumeri]] inayoonyesha [[mapatano]] ya kuuza [[nyumba]] na [[shamba]]. Maandishi ni [[mwandiko wa kikabari]].]]
'''Sumeri''' ilikuwa kati ya [[tamaduni]] za kwanzajuu za juukwanza katika [[Asia ya Magharibi]] na hasa [[Mesopotamia]] ([[Iraq]] ya leo). Labda ilikuwa [[utamaduni]] wa kwanza wa kujenga [[miji]].
 
Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye [[rutuba]] kati ya [[mito]] [[Frati]] na [[Hidekeli]] tangu mwaka [[3500 KK]]. [[Elimu]] ya [[akiolojia]] iliwezaimeweza kuthibitisha ya kwamba [[Wasumeri]] walijenga miji na kuendeleza [[maandishi]].
 
Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kutumia [[mwandiko wa kikabari]] kwenye [[vigae vya mwandiko wa kikabari]], yaani vipande vya [[udongo]] mbichi wa [[ufinyanzi]] na kuvichoma.
 
Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwaya [[kalenda]] za leo kwa kugawa [[siku]] katika [[saa]] 24 na [[saa]] katika [[dakika]] 60.pia Pia waliweka [[kumbukumbu]] ya [[mifugo]] na [[mazao]] katika maandishi.
 
Wasumeri waliishi katika [[dola-mji|dola-miji]] iliyotawaliwa na [[mfalme|wafalme]] au ma[[kuhani]].
 
{{mbegu-historia}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Mesopotamia]]