Elimuanga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Elimu ya nyota nyakati za kale: Ptolemaio |
|||
Mstari 7:
===Elimu ya nyota nyakati za kale===
Tangu zamani watu waliangalia nyota wakajifunza kuzitofautisha. [[Mabaharia]] na wasafiri wakati wa [[usiku]] waliweza kutumia nyota kama
Watazamaji wa nyota walianza kutambua pia tofauti kati ya nyota mbalimbali, kwa mfano [[nyota]] zenye mahali palepale kila wakati na nyota chache za pekee zilizobadilisha mahali angani kwa utaratibu wa kurudia na hizi ziliitwa [[sayari]], tena nyota nyingine zilizoonekana kwa muda tu zikibadilisha mahali pake angani zikaitwa [[kimondo|vimondo]].
|