Democratic Party (Kenya) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: '''Democratic Party (DP)''' au '''Chama cha Demokrasia''' ni chama cha kisiasa nchini Kenya. Kilianzishwa 1991 na Mwai Kibaki baada ya kuondoka kwake katika chama tawala cha KANU. ... |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Democratic Party (DP)''' au '''Chama cha Demokrasia''' ni chama cha kisiasa nchini [[Kenya]]. Kilianzishwa 1991 na [[Mwai Kibaki]] baada ya kuondoka kwake katika chama tawala cha [[KANU]].
Chama kilikuwa na athira na uwezo hasa katika maeneo ya [[Wakikuyu]]. Kiliteua Kibaki kama mgombea wa uraisi mara mbili 1992 na 1998 bila kufaulu.
|