Hali ya hewa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Viungo vya Nje: + kiungo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Double Bows.jpg|thumb|300px|[[Pinde ya mvua]]
'''Hali ya hewa''' (pia: '''halihewa''') ni namna ya kutaja yale yanayotokea katika sehemu ya chini ya [[angahewa]] juu ya [[uso wa dunia]] katika eneo fulani na [[wakati]] fulani.
Hali hizi hutofautishwa kulingana na [[upepo]], [[halijoto]], [[
Athari muhimu zaidi katika mabadiliko ya halihewa ni mzunguko wa angahewa unaotawaliwa na [[nishati]] ya mnururisho wa jua na uwiano wa [[kanieneo]] katika sehemu mbalimbali za
[[Tabia]] muhimu za halihewa hutokea kama [[upepo]], [[dhoruba]], [[kimbunga]], [[radi]], [[mvua]], [[theluji]] na [[baridi]] au [[joto]] zikiathiri [[maisha]] ya
Hali ya hewa inaenda sambamba na [[tabianchi]] yaani, kama ni ya joto au baridi, bichi au yabisi. Mabadiliko ya hali ya hewa
[[Watu]] hujenga [[makao]] na kuvaa [[nguo]] kulingana na halihewa na kwa njia hiyo tabianchi imekuwa nguvu ya kufinyanga [[utamaduni]] wa watu.
==Meterolojia kama elimu ya hali ya hewa==
[[Sayansi]] ya [[metorolojia]] huifanyia halihewa [[utafiti]] kwa kupima hali mbalimbali hadi kutabiri mabadiliko yanayokuja karibuni.
Sayansi hii inafundishwa kwenye [[vyuo vikuu]] na siku hizi kila nchi huwa na [[idara]] ya [[serikali]] inayoangalia hali ya hewa, kwa mfano [[Idara ya Metorolojia Kenya]] au [[Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania]]. ==Hali ya hewa na utamaduni==
Hali ya hewa
== Viungo vya Nje ==
Line 24 ⟶ 25:
* [http://www.meteo.go.ke/ Kenya Meteorological Department]
* [http://www.meteo.go.tz/mi/index.php Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (Tanzania Metereological Agency]
{{mbegu-sayansi}}
|