Wati : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Wati''' (pia:'''watt''') ni [[kizio]] cha
<math>\mathrm{1\, W = 1\, \frac{kg\, m^2} {s^3}}\mathrm{{} = 1 \, \frac{J}{s}} = 1\, \mathrm{VA}</math>
Inaelezwa kuwa ni nguvu inayotokea kama [[juli]] [[moja]] ya [[nishati]] inatumiwa kwa muda wa [[sekunde]] moja. Hivyo inawezekana kuiandika pia kama '''J/s'''.
Wati ni kizio cha [[vipimo sanifu vya kimataifa]]. Imepewa jina lake kwa heshima ya mwanafizikia na mhandisi [[James Watt]] (1736 - 1819).▼
Wati moja ni sawa na [[volti]]-[[ampea]] moja (1 V·A). Uwezo wa majenereta huonyeshwa kwa kutaja kiasi cha wati yanayoweza kuzalisha. Kwa majenereta makubwa kama vile vituo vya umeme vya diseli, umememaji au nyuklia kiasi hutajwa kwa megawati. ▼
▲Wati ni kizio cha [[vipimo sanifu vya kimataifa]]. Imepewa [[jina]] lake kwa [[heshima]] ya [[mwanafizikia]] na [[mhandisi]] [[James Watt]] ([[1736]] - [[1819]]).
▲Wati moja ni sawa na [[volti]]-[[ampea]] moja (1 V·A). Uwezo wa [[jenereta|majenereta]] huonyeshwa kwa kutaja kiasi cha wati
{| class="wikitable"
Line 25 ⟶ 23:
| '''1 mW ([[mikrowati]])'''|| '''µW''' || align="right" | '''0.0000001 W''' || '''10<sup>−6</sup> W'''
|-----
| '''1 mW (
|-----
| 1 mW (sentiwati)||cw || align="right" | 0.01 W || 10<sup>−3</sup> W
Line 50 ⟶ 48:
|}
Vizio vidogo sana kama pW
daW na hW hali halisi havitumiwi; kama [[balbu]] ina 60 W hatusemi "6 daW" wala "15 hW" kwa balbu ya 150 W.▼
▲Vizio vidogo sana kama pW vinatumiwa katika makadirio ya [[redio]] na [[radar]], vifaa vya kiganga kama EEG na ECG mara nyingi hupimwa kwa µW.
Kilowati (kW) ni kizio kwa vifaa vingi vya kila [[siku]], kwa mfano kwa matumizi ya [[jiko la umeme]] au pia nguvu ya [[injini]]. Injini
▲daW na hW hali halisi havitumiwi; kama balbu ina 60 W hatusemi "6 daW" wala "15 hW" kwa balbu ya 150 W.
Megawati (MW) ni kizio cha kupima injini kubwa sana kama injini za [[meli]] na [[manowari]] kubwa lakini
▲Kilowati (kW) ni kizio kwa vifaa vingi vya kila siku, kwa mfano kwa matumizi ya jiko la umeme au pia nguvu ya injini. Injini la gari la kawaida huwa na 30 kW hadi 80 kW.
Vizio vikubwa zaidi vinaweza kutokea katika matumizi ya vifaa vichache kama [[laser]] kubwa ya majaribio au kutaja jumla ya [[uzalishaji]]
▲Megawati (MW) ni kizio cha kupima injini kubwa sana kama injini za [[meli]] na [[manowari]] kubwa lakini menginevyo hutumiwa kwa kutaja nguvu ya majenereta ya kituo cha umeme.
▲Vizio vikubwa zaidi vinaweza kutokea katika matumizi ya vifaa vichache kama laser kubwa ya majaribio au kutaja jumla ya uzalishaji ya nguvu wa [[lambo]] la [[majiumeme]] ; kwa mfano [[lambo la magenge matatu]] huwa na nafasi ya uzalishaji wa 22 GW.
Terawati ni nguvu ya [[radi]] ya kawaida.
Petawati inaweza kutumiwa kutaja [[nishati]] ya [[jua]]: nishati yote inayofika kwa njia ya [[nuru]] yake [[duniani]] ni takriban 174 PW.
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Vipimo sanifu vya kimataifa]]
|