Irène Joliot-Curie : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'alt=Irène Joliot-Curie|thumb|Irène Joliot-Curie '''Irène Joliet-Curie''' (12 Septemba 1897 - 17 Machi...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Irène Joliot-Curie Harcourt.jpg|alt=Irène Joliot-Curie|thumb|Irène Joliot-Curie]]
'''Irène Joliet-Curie''' ([[12 Septemba]] [[1897]] - [[17 Machi]] [[1956]]) alikuwa [[mwanasayansi]] wa [[Kifaransa]]. Alishinda [[tuzo ya Nobel]] kwa [[Kemia]] mwaka wa [[1935]] pamoja na [[Mume|mumewe]], [[Frédéric Joliot]]. Curie alikuwa [[binti
== Elimu ==
Curie alianza [[masomo]] yake katika [[kitivo]] cha [[Sayansi]] huko [[Paris]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza]], aliwahi kuwa mbobeaji kwenye mambo ya [[eksirei]]. Curie akawa [[Daktari]] wa [[Sayansi]] mwaka wa [[1925]]. Alifanya [[tasnifu]] yake juu ya [[rasi ya alfa]] ya [[Poloni|poloniamu]].
{{mbegu-mwanasayansi}}
{{BD|1897|1956}}
[[Jamii:Wanakemia wa Ufaransa]]
|